johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,433
Kwa sasa Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni Mwenyekiti mwenza wa Vyama vya Demokrasia Africa na Makamu Mwenyekiti wa IDU
Unadhani kwa misingi ya kujimwambafy mh Mbowe anaweza kukiri chama chake kina mbunge mmoja tu?
Majilio mema!
Unadhani kwa misingi ya kujimwambafy mh Mbowe anaweza kukiri chama chake kina mbunge mmoja tu?
Majilio mema!