Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Itabakia NSSF, Tanesco, CRDB, NMB labda na mwendo kasi, hata ubishi wa mpira utaisha Tanzania kwani bila ya Wahindi /Waarabu hakuna Simba, Yanga wala Azam.
I mean, sisi watu weusi inabidi tuamke kwa kweli. Idi Amini alifukuza Wahindi baadaye wakaenda kuwapiga magoti warudi, kuna jamaa (mweusi mwenzangu) alitaka kunipiga ngumi kisa nimemuongelea MO asivyotaka kusikia, nilitafakari nikakosa jibu.
Sasa hivi Tanzania hata Utalii bila ya kampuni za Wahindi hakuna kitu, BTW Wahindi Tanzania nzima ni < 200 000 sisi tuko zaidi ya milioni 45.
Heri ya Mwaka mpya 2021
I mean, sisi watu weusi inabidi tuamke kwa kweli. Idi Amini alifukuza Wahindi baadaye wakaenda kuwapiga magoti warudi, kuna jamaa (mweusi mwenzangu) alitaka kunipiga ngumi kisa nimemuongelea MO asivyotaka kusikia, nilitafakari nikakosa jibu.
Sasa hivi Tanzania hata Utalii bila ya kampuni za Wahindi hakuna kitu, BTW Wahindi Tanzania nzima ni < 200 000 sisi tuko zaidi ya milioni 45.
Heri ya Mwaka mpya 2021