Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,985
- 144,312
Kila taarifa ya CAG na ile ya kamati za bunge kuhusu mahesabu ya serikali zinapowasilishwa bungeni ndio mwanzo wa kusema mawaziri akiwemo waziri mkuu ni mizigo na wanapaswa kufukuzwa.
Hata hivyo,mabadiliko yoyote ya serikali hii ya awamu ya nne ni mpaka bunge lishinikize licha ya uozo na uzembe wa watendaji hawa ukiwa ni jambo la wazi kabisa.
Sasa watanzania wenzangu,tukiwa wakweli na tusiwe na hata chembe ya unafiki,hapa tatizo ni mawaziri au Raisi anaewateua?
Labda swalil la msingi ni kuwa ikiwa anaewateua atakuwa muwajibikaji itawezekana mawaziri wawe wazembe?
Jambo lingine la kutafakari na kujiuliza ni kuwa kwa hii katiba inayompa Raisi madaraka makubwa ya kuweza kuwa hata "dikteta" lakini bado Raisi anaonekana kuwa dhaifu kiutendaji,je, huu sio ushahidi mwingine kuwa Raisi kazi imemshinda?
Naomba maoni yako.
Hata hivyo,mabadiliko yoyote ya serikali hii ya awamu ya nne ni mpaka bunge lishinikize licha ya uozo na uzembe wa watendaji hawa ukiwa ni jambo la wazi kabisa.
Sasa watanzania wenzangu,tukiwa wakweli na tusiwe na hata chembe ya unafiki,hapa tatizo ni mawaziri au Raisi anaewateua?
Labda swalil la msingi ni kuwa ikiwa anaewateua atakuwa muwajibikaji itawezekana mawaziri wawe wazembe?
Jambo lingine la kutafakari na kujiuliza ni kuwa kwa hii katiba inayompa Raisi madaraka makubwa ya kuweza kuwa hata "dikteta" lakini bado Raisi anaonekana kuwa dhaifu kiutendaji,je, huu sio ushahidi mwingine kuwa Raisi kazi imemshinda?
Naomba maoni yako.