Alisema amekusanya form zote za matokeo zinamwonyesha anakura ngapi, kama alivyo Fanya Makamba, kusema wanaongoza majimbo 176 kama sikosei, sasa kosa ni nini ? Au mlitaka kubadiri matokeo?
Usipotoshe makamba hajataja kura za uraisi anetaja viti vya ubunge ambavyo kishetia hajakiuka chochote,huyo zuzu wenu amevunja sheria
viongozi wa CCM wako juu ya sheria; kituo cha kujumlishia kinachosemekana kiko mlimani city mbona polisi hawakukivamia na kukamata waliomo?
viongozi wa CCM wako juu ya sheria; kituo cha kujumlishia kinachosemekana kiko mlimani city mbona polisi hawakukivamia na kukamata waliomo?
Usipotoshe makamba hajataja kura za uraisi anetaja viti vya ubunge ambavyo kishetia hajakiuka chochote,huyo zuzu wenu amevunja sheria
Kura unajumlisha na wageni kutoka kenya, rwanda, france?????? Mna mkakati gani???
ccm wamekalia kijiti ndo mana wanahangaika
Usipotoshe makamba hajataja kura za uraisi anetaja viti vya ubunge ambavyo kishetia hajakiuka chochote,huyo zuzu wenu amevunja sheria
Maalim seif ukichukua madaraka kitu cha kwanza dai serikali tatu. Utakuwa umetusaidia huku bara kupata katiba mpya.
Usipotoshe makamba hajataja kura za uraisi anetaja viti vya ubunge ambavyo kishetia hajakiuka chochote,huyo zuzu wenu amevunja sheria