Mmmmmh huongo mtu wazeeeh. Mbona kam tunadanganyana huku sikuizi.....?Tuwe waaminifu, tuheshimu ndoa zetu na hofu ya Mungu ni muhimu. Vitabu vya dini zote vimekemea uzinzi.
Ila ukweli ni kwamba kila mwanamke ana ladha yake tofauti.Kusema kwamba utamaliza bucha zote nyama ni ileile sio kweli..nyama ni tofauti.
Nakumbuka Sophia alinionya nisimtongoze mate wake,kila nikimuuliza sababu hataki kusema. Siku moja akanitolea uvivu akaniambia Aisha ni mtamu sana, ameshavunja ndoa nyingi tu kwa sababu ya utamu wake. Akasema akikupa penzi huwezi kudhubutu kumuacha.
UKIMWIupo kazini wakuu tuache uzinzi
In sex anaye enjoy saaaan ni mwanamke from starting point till the end of it but kwa upande wangu huwa naenjoy pale bao linaponitoka bac.
Kwangu kitamu ni vyakula bac tna hasa nyama choma kama ya kuku hv😂😂😂