Tuwe objective: Mbowe ana sababu gani za kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
52,896
117,697
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
 
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Sifa alizotaja Lissu jana..ni sifa gani hakuwa nayo wakati Mbowe anagombea uenyekiti mara ya kwanza? Km vile viungo vya mwili vinavyohitajiana na uongozi kwenye kundi ni hivyo hivyo, mkono hauwezi kufanya kazi za kichwa..Lissu hawezi kazi/majukumu ya kuwa Mwenyekiti..anaweza kuwa msaidizi..ukizitambua kazi za kichwa cha mnyama, hizo ndio sifa za Mbowe kuwa Mwenyekiti Chadema..tujifunze kujua vyama vina maelekezo ya waliobeba maono wakati kinaanzishwa vzr kuyazingatia kuliko jazba za ujana..kwa anayesoma vitabu pekee vyenye umri mrefu kupita vitabu vingine vyote..vina mifano ya kutahadhalisha jamii kufuata msimamo wa vijana au kusikiliza maneno yao..9 kati ya 10 yana mwelekeo wa uharibifu na si kujenga.
 
Sifa alizotaja Lissu jana..ni sifa gani hakuwa nayo wakati Mbowe anagombea uenyekiti mara ya kwanza? Km vile viungo vya mwili vinavyohitajiana na uongozi kwenye kundi ni hivyo hivyo, mkono hauwezi kufanya kazi za kichwa..Lissu hawezi kazi/majukumu ya kuwa Mwenyekiti..anaweza kuwa msaidizi..ukizitambua kazi za kichwa cha mnyama, hizo ndio sifa za Mbowe kuwa Mwenyekiti Chadema..tujifunze kujua vyama vina maelekezo ya waliobeba maono wakati kinaanzishwa vzr kuyazingatia kuliko jazba za ujana..kwa anayesoma vitabu pekee vyenye umri mrefu kupita vitabu vingine vyote..vina mifano ya kutahadhalisha jamii kufuata msimamo wa vijana au kusikiliza maneno yao..9 kati ya 10 yana mwelekeo wa uharibifu na si kujenga.
Bado haujajibu,naona umemchambua zaidi Lissu. Angalau basi ungejibu udhaifu alioudokeza Lissu jana.
Hoja ya msingi ni Mbowe atataka kuendelea kuwa mwenyekiti ili afanye nini zaidi ambacho hakufanya in 20yrs plus
 
Ndugu OKW BOBAN SUNZU

Kwa ufahamu na uelewa wako unadhani Tundu Lissu hajashauriana kwanza na Mwenyekiti wake na Mwenyekiti kutoa go ahead...?

Kama ulisikiliza vyema hotuba ya Freeman Mbowe juzi neno kwa neno wakati CHADEMA wanatoa tamko na msimamo wao juu "uchafuzi" wa kile kilichoitwa uchaguzi wa vijiji, mitaa na vitongoji, unaweza kuunganisha dots na kuweza kuelewa kuwa huu ni mpango mkakati wa chama kwa ujumla...

Kwa kifupi, huyu ndiye aliyeandaliwa kuchukua mikoba ya Freeman Mbowe CHADEMA...

There's absolutely NO HATE NOR FEAR in this move...

Na ni move ambayo imeitetemesha Lumumba, Magogoni na Chamwino yote....

Ndiyo maana huko Lumumba hakukaliki Sasa hivi. Wanabuni plan C maana A & B zote zilishafeli...

Ndio maana wameibuka kwenye mitandao kama nyuki waliotibuliwa mzingani na Moshi wa moto na ghafla Mbowe aliyekuwa target ya mashambulizi yao kama mla ruzuku yote ya chama zikiingia kwenye akaunti yake binafsi, mng'ang'ania madaraka leo anatetewa na Chawa wa Samia na CCM eti asikubali Tundu Lissu kum - challenge....!!

Loooh, this is absolutely ridiculous. Na hii kumbe ni kweli ni Bongolala...!

Hata hivyo, Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti. Hili halina ubishi tena....
 
Bado haujajibu,naona umemchambua zaidi Lissu. Angalau basi ungejibu udhaifu alioudokeza Lissu jana.
Hoja ya msingi ni Mbowe atataka kuendelea kuwa mwenyekiti ili afanye nini zaidi ambacho hakufanya in 20yrs plus
..Mbowe hajakata tamaa na kiwango cha uvumilivu kiko bora kabisa kwa sasa kuliko wakati mwingine wowote na hivyo atakilinda chama kisivunjike wakati huu ambapo ccm wamedhoofika zaidi, ccm inaongozwa kitoto hawatafika mbali na hawana hao watu wa kuwapa matokeo yanayoweza kuwaridhisha wote wao kwa wao na wananchi kwa ujumla, kila majira yana mahitaji yake mawili au matatu muhimu, mahitaji ya chadema kwa sasa hayamhitaji mtu wa aina ya Lissu..
 
..Mbowe hajakata tamaa na kiwango cha uvumilivu kiko bora kabisa kwa sasa kuliko wakati mwingine wowote na hivyo atakilinda chama kisivunjike wakati huu ambapo ccm wamedhoofika zaidi, ccm inaongozwa kitoto hawatafika mbali na hawana hao watu wa kuwapa matokeo yanayoweza kuwaridhisha wote wao kwa wao na wananchi kwa ujumla, kila majira yana mahitaji yake mawili au matatu muhimu, mahitaji ya chadema kwa sasa hayamhitaji mtu wa aina ya Lissu..
Miaka 20 inamtosha

Alianza na hayati Mkapa, JK, Shujaa hadi Leo zama za Mpendwa Wetu Mh Rais Samia

Apumzike kama alivyoshauriwa na Viongozi wa dini 🐼
 
Jana nimemsikia Mh. Lissu mwanzo mpaka mwisho
Nikiri kuwa sijasikia kama Freeman atagombea.
Nafahamu kwamba kwa heshima yake kama angekuwa hagombei anawaachia "vijana" basi angeshatoa taarifa mapema kidogo.
Kwa hiyo anaweza kugombea

Sasa nimekuwa najiuliza kama Mbowe ataamua kugombea uenyekiti atakuwa na sababu gani za kuamua kuendelea kuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.

Declaration of Interest
Namuunga mkono Lissu kuwa Mwenyekiti kwa sababu nzuri alizozitaja jana
Mbowe hana sababu zozote za kumfanya kuwa mwenyekiti tena. Tena inabidi akitoka tu na katiba ifanyiwe marekebisho haraka kuweka ukomo wa uongozi. Mapendekezo aliyotoa Lisu jana baada ya kumsikiliza zaidi ya 90% ni ya kuchukuliwa na kufanyiwa kazi, kwani ni kwa faida ya taasisi zaidi.
 
Miaka 20 inamtosha

Alianza na hayati Mkapa, JK, Shujaa hadi Leo zama za Mpendwa Wetu Mh Rais Samia

Apumzike kama alivyoshauriwa na Viongozi wa dini 🐼
..ccm hawajawahi kushauriwa wapumzike? Kipi kitakuwa na matokeo mazuri kwa nchi, ccm wapumzike au Mbowe amwachie Lissu..
 
..Mbowe hajakata tamaa na kiwango cha uvumilivu kiko bora kabisa kwa sasa kuliko wakati mwingine wowote na hivyo atakilinda chama kisivunjike wakati huu ambapo ccm wamedhoofika zaidi, ccm inaongozwa kitoto hawatafika mbali na hawana hao watu wa kuwapa matokeo yanayoweza kuwaridhisha wote wao kwa wao na wananchi kwa ujumla, kila majira yana mahitaji yake mawili au matatu muhimu, mahitaji ya chadema kwa sasa hayamhitaji mtu wa aina ya Lissu..

Hebu weka vizuri hapa...

Majira ya sasa "hayamhitaji" au "yanamhitaji" mtu aina ya Tundu Lissu...?

Hebu rekebisha hapo kwenye andiko Ili tujue uko upande gani...
 
Back
Top Bottom