naughty_bee
Member
- Sep 13, 2017
- 12
- 6
Munaonaje Tanzania kuwe na sheria za kuvaa nguo, kama mfano hasaa kwa wanawake iwe huruhusiwi kuvaa sketi fupi inavuka mapaja huruhusiwi kuvaa tight au leggings bilaa kuvaa kitu kinachoficha makalio yako, kuvaa t shirt inayobana mpaka chuchu kuonekana, kwa ufupi nguo zinodhalilisha wanawake, toa maoni yako na sababu zako.
nawashukuru nyote wakujiunga na mada hii kila mtu ana oppinion yake ni vizuri .
kwa wale wanopendelea kuchat online na wabongo wenzetu, sasa unaweza nime fungua chatroom ya wabongo kutoka paltalk njooni tujiunge tubadilishane mawazo pamoja kuunga urafiki ahsanteni. linki iko chini.
BONGO - Paltalk Room
nawashukuru nyote wakujiunga na mada hii kila mtu ana oppinion yake ni vizuri .
kwa wale wanopendelea kuchat online na wabongo wenzetu, sasa unaweza nime fungua chatroom ya wabongo kutoka paltalk njooni tujiunge tubadilishane mawazo pamoja kuunga urafiki ahsanteni. linki iko chini.
BONGO - Paltalk Room