GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Ndugu watanzania na wazanzibari muliopo ndani na nje ya nchi.
Tumeona jitihada za viongozi wa upinzani ukidai tume huru ya uchaguzi, Sisi tunaona tume ya uchaguzi hata ikiwa huru kuna mifumo mengine inaweza kuingilia tume, kuiteka tume kama ilivyo fanyika Zanzibar Oct 2015
Badala ya kwenda kwenye tume huru, twende kwenye katiba mpya, katiba tulio nayo ni ya mfumo wa chama kimoja, katiba mpya ni muhimu kuliko uchaguzi mkuu.
Katiba ya sasa inabinya haki za binadamu, kisiasa na kijamii, pia mfumo hata wa muungano haupo usawa na una mapungufu toka kuasisiwa.
Tuwe na one voice
Vyama vya siasa, NGOs na Human rights na wananchi tuungane pamoja, tutumie kila njia kufikisha ujumbe na waelewesha wananchi maudhui ya kudai katiba mpya na kuweka kipao mbele kuliko hata chaguzi.
Naamini kama tukiwa na sauti moja na kuondoa maslahi ya kisiasa na kuweka maslahi ya taifa zima, tutashinda kwa hili.
Katiba mpya ndio nguzo muhimu kwa mahitaji ya leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeona jitihada za viongozi wa upinzani ukidai tume huru ya uchaguzi, Sisi tunaona tume ya uchaguzi hata ikiwa huru kuna mifumo mengine inaweza kuingilia tume, kuiteka tume kama ilivyo fanyika Zanzibar Oct 2015
Badala ya kwenda kwenye tume huru, twende kwenye katiba mpya, katiba tulio nayo ni ya mfumo wa chama kimoja, katiba mpya ni muhimu kuliko uchaguzi mkuu.
Katiba ya sasa inabinya haki za binadamu, kisiasa na kijamii, pia mfumo hata wa muungano haupo usawa na una mapungufu toka kuasisiwa.
Tuwe na one voice
Vyama vya siasa, NGOs na Human rights na wananchi tuungane pamoja, tutumie kila njia kufikisha ujumbe na waelewesha wananchi maudhui ya kudai katiba mpya na kuweka kipao mbele kuliko hata chaguzi.
Naamini kama tukiwa na sauti moja na kuondoa maslahi ya kisiasa na kuweka maslahi ya taifa zima, tutashinda kwa hili.
Katiba mpya ndio nguzo muhimu kwa mahitaji ya leo.
Sent using Jamii Forums mobile app