Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Noted...!Nilomaanisha halipiti Korogwe mjini mkuu
Noted...!Nilomaanisha halipiti Korogwe mjini mkuu
kwikwikwikijana hatushiriki kichwa kimoja na wewe hivyo jieleze vizuri!
Au unamaanisha dereva alieka viroba kweny chupa ya maji?? Hujaeleweka kabisaEti dereva katoka Dar vizuri kwenda Tanga, kafika Korogwe kwenye chakula, kawapa muda wa kula abiria dakika kumi.
Abiria wote wameenda na muda, kasoro Dereva. Mara katokea na chupa kubwa ya maji ya kilimanjaro.. Jasho jepesi usoni.. Halafu unakuta mtu unamuona na bado unakuwa na amani, kweli kabisa mtu na akili zako unatulia kabisa..
Matokeo yake kaua mwendesha baiskeli na basi kupinduka. Watu watatu hapo hapo.. Wawili hospitalini.. Jumla watano. Majeruhi ndio usiseme.. Duuh!! Kama kweli ni dereva, angemgonga mmoja akaokoa basi, ila bwana Dereva kaangusha basi na mwendesha baiskeli kamgonga.. Duuh Dereva..
N:B Tuwe makini tunapo safiri na mabasi, kuwa huru kwasababu umetoa pesa.. Pesa yako inaisha pindi ukifa tu.
factKooote huko haikuwa lazima kufika! Swali lakumuuliza mtoa mada ni je, anataka abiria a/wafanye nini wakiona dereva ana chupa ya maji na labda anatoka kijasho chembamba?
Toa report polisi. Namba za kila kamanda wa polisi wa Mkoa ziko kwenye basi. Mpigie kamanda wapolisi elezea mko wapi na mashaka yako kwa dreva nini. Yeye ataagiza askari waliokaribu kufika hapo mlipo.fact
Ukikabidhiwa kwa mama wa kambo moja fanya hapo kama sio kwenu, mbili hakikisha unasimama kwa fikra zako, ukiambatanisha na juhudi binafsi.. Niliishia darasa la nne sababu ya mama wa kambo, ila haijanifanya niwe sina thamani katika maisha yangu. Ndio maana leo ninaweza kukaa ndani gari siku nzima ikiwa imepaki uku ikiwa inaunguruma nakula hewa ya Japan tu.