Korogwe au Mombo au Tanga au Dar sio maudhui yaliyolengwa.
Kwa hali hii hata ingekuwa USA River kwenda Mbamba Bay bado angewamwaga.
Mitungi haipimwi kwa kijasho chembamba, si jukumu wala uwezo wa abiria kuchunguza na kujua hali ya dereva.
Serikali inatakiwa iwe na drug and alcohol program kwa madereva wote wa vyombo vya biashara.
Kwa hali hii hata ingekuwa USA River kwenda Mbamba Bay bado angewamwaga.
Mitungi haipimwi kwa kijasho chembamba, si jukumu wala uwezo wa abiria kuchunguza na kujua hali ya dereva.
Serikali inatakiwa iwe na drug and alcohol program kwa madereva wote wa vyombo vya biashara.