Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Hawa wazungumzaji /motivational speakers huwa wanawapotosha sana vijana wetu , hasa graduates toka vyuo mbali mbali.
Unakuta wanawakusanya vijana wetu pengine wanawachangisha mpaka viingilio halafu wanaenda kuwamezesha 'nondo' walizodownload kwenye mitandao, bila wao wenyewe kuwa na uhalisia ama utekelezaji wa wanachokizungumzia.
Hawanaga mifano halisi ya wao wenyewe kama wamepractise hicho wanachokiongelea. Hawanaga mifano halisi.
Unakuta wamepiga pamba utafikiri wana projects au wamejiajiri. Hewa kabisa.
Wanazungumzia vitu kwa nadharia tu.
Tuwateme. Hovyo sana.
Unakuta wanawakusanya vijana wetu pengine wanawachangisha mpaka viingilio halafu wanaenda kuwamezesha 'nondo' walizodownload kwenye mitandao, bila wao wenyewe kuwa na uhalisia ama utekelezaji wa wanachokizungumzia.
Hawanaga mifano halisi ya wao wenyewe kama wamepractise hicho wanachokiongelea. Hawanaga mifano halisi.
Unakuta wamepiga pamba utafikiri wana projects au wamejiajiri. Hewa kabisa.
Wanazungumzia vitu kwa nadharia tu.
Tuwateme. Hovyo sana.