Kuna tweet leo imenishtusha kidogo baada ya kuona muhusika ka"ilike" na tweet yenyewe ukiiangalia kwa maslahi ya nchi tunayumba.
Maana muhusika amewekeza sana nchini katoa ajira nyingi sana na nimzalendo aliyeamua fedha zake asizifiche nchi za mbali bali zinufaishe watanzania walio wengi.
Sasa wabunge wanaolete siasa za maji taka walioshindwa hata kuzuia kikokotoo kipya wanataka kutuzamisha tena shimoni.
Mo akiondoka ni mwekezaji gani serious wa kigeni atakuja?
Mengi katupiga sound hadi leo kiwanda cha simu kiko wapi?
Tuweni makini na wanasiasa vichwa panzi.
Maana muhusika amewekeza sana nchini katoa ajira nyingi sana na nimzalendo aliyeamua fedha zake asizifiche nchi za mbali bali zinufaishe watanzania walio wengi.
Sasa wabunge wanaolete siasa za maji taka walioshindwa hata kuzuia kikokotoo kipya wanataka kutuzamisha tena shimoni.
Mo akiondoka ni mwekezaji gani serious wa kigeni atakuja?
Mengi katupiga sound hadi leo kiwanda cha simu kiko wapi?
Tuweni makini na wanasiasa vichwa panzi.