Tuwe makini na wahamiaji haramu, wanaweza kuhatarisha amani ya nchi

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,120
7,702
Kilichotokea Haiti kila mmoja wetu anakijua, ni jambo la kutisha kuuliwa Rais ktk makazi yake lkn waliotekeleza mauaji hayo ni wahamiaji haramu.

Kwa nchi yetu yenye wimbi la wahamiaji haramu inapaswa vyombo vyetu viwe macho masaa 24, operation ktk mahoteli ziwe zinafanyika.

Wapo wahamiaji haramu wengi wamejibanza katika maeneo yetu, katika mahoteli yetu, hatujui kila mmoja na nia yake.

Ni muhimu sana kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu kwa usalama wa nchi yetu.
 
Wahamiaji haramu? Sisi itakuwa tunao wahamiaji wengi tu, haramu au halali sijui ila najua enzi za mkwere, walitajwa mpaka mabrigedia wa jeshi kuwa ni raia kutoka nchi jirani na wako huko kisiri.

Hatuna uraia pacha, si wanasema wapo wenye uraia wa nchi nyingine na wapo juu juu huko, hao ni wahamiaji? Haramu? Wale aliowasema SSH kuwa walienda kuchoma chanjo, nao vipi, kuna haja ya kuchunguza uraia wao?
 
Acha utani! Sheikh Rais wa nchi, hawezi kuuliwa na watu wakawaida, Rais wa nchi hawezi kuishi maeneo kama Tandale, Manzese, makazi ya Raisi hata kama ameishastaafu, hulindwa 24/7.

Kikwete mpaka leo,akitoka Kwake pale Msasani, Anakuwa na security detail wa kutosha,gari tatu zenye walinzi,sembuse Raisi aliyepo Madarakani.

Huyo Rais wa Haiti, ameuliwa na watu walioko ndani ya Serikali yake,ambao hawakubaliani nae,ni watu wenye kujua mfumo mzima wa usalama wa nchi, usiwachukulie kama wahamiaji haramu wanaonuka vikwapa na majasho kama wale wa Kigoma, Karagwe, Mtwara, wanaokuja kufsnya kazi za vibarua kukimbia umaskini kwao, walimuua huyu Raisi, ni watu weredi kwenye hizo operations,na sasa hv watakuwa wmaeishaondoka zamani, wapo Paris wanakula mvinyo tu.
 
Jukumu la kulinda ulinzi na usalama wa nchi ni la kila mwananchi wa Tanzania pale unapogundua kuwa kuna mtu unamtilia mashaka awe ni mhamiaji haramu au ni mhalifu ni Bora taarifa ikatolewa katika vyombo husika.

Ndiyo maana kamati za ulinzi na usalama zinaanzia ngazi ya mtaa ambako wako karibu zaidi na wananchi, ngazi ya kata, wilaya, mkoa mpaka ngazi ya taifa.

Vile vile kuna Vituo vya polisi na ofisi za uhamiaji katika kila wilaya kwa ajili ya kusogeza huduma kwa wananchi, mwananchi timiza jukumu lako toa taarifa zitafanyiwa kazi kwa ngazi husika.
 
Acha utani! Sheikh Raisi wa nchi,hawezi kuuliwa na watu wakawaida,Raisi wa nchi hawezi kuishi maeneo kama Tandale,Manzese,makazi ya Raisi hata kama ameishastaafu,hulindwa 24/7.

Kikwete mpaka leo,akitoka Kwake pale msasani, Anakuwa na security detail wa kutosha,gari tatu zenye walinzi,sembuse Raisi aliyepo Madarakani.

Huyo Raisi wa Haiti,ameuliwa na watu walioko ndani ya Serikali yake,ambao hawakubaliani nae,ni watu wenye kujua mfumo mzima wa usalama wa nchi, usiwachukulie kama wahamiaji haramu wanaonuka vikwapa na majasho kama wale wa Kigoma, Karagwe, Mtwara, wanaokuja kufsnya kazi za vibarua kukimbia umaskini kwao, walimuua huyu Raisi,ni watu weredi kwenye hizo operations,na sasa hv watakuwa wmaeishaondoka zamani,wapo Paris wanakula mvinyo tu.
Akaye akaye magabo! Ugomba kutukubita magabo!! Kweli wewe unasema sisi tunaanuka vikwapa? Akayeeee!!!!
 
Kilichotokea Haiti kila mmoja wetu anakijua, ni jambo la kutisha kuuliwa Rais ktk makazi yake lkn waliotekeleza mauaji hayo ni wahamiaji haramu.

Kwa nchi yetu yenye wimbi la wahamiaji haramu inapaswa vyombo vyetu viwe macho masaa 24, operation ktk mahoteli ziwe zinafanyika.

Wapo wahamiaji haramu wengi wamejibanza ktk maeneo yetu, ktk mahoteli yetu, hatujui kila mmoja na nia yake.

Ni muhimu sana kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu kwa usalama wa nchi yetu.
Vipi wale wahutu wa magogoni walisharudi kwao ?
 
Na wewe umeamini kabisa kua jamaa kauwawa na wahamiaji haramu? Kweli aliyepanga Mission kafanikiwa vizuri.
 
Yani mi mda mwingine adi nashangaa tz anakuja mnaija anaishi kama kwake na kiwanja wananunua aisee jeshi aliko makini tuliangalie hili kwa undani zaidi
 
Ni raia wa Haiti hao wasifunike kombe hao wahaiti wamepinda mno na hawajali kitu...wahaiti wengi ndio wauza sumu na makundi ya maganster huko USA...
 
Kilichotokea Haiti kila mmoja wetu anakijua, ni jambo la kutisha kuuliwa Rais ktk makazi yake lkn waliotekeleza mauaji hayo ni wahamiaji haramu.

Kwa nchi yetu yenye wimbi la wahamiaji haramu inapaswa vyombo vyetu viwe macho masaa 24, operation ktk mahoteli ziwe zinafanyika.

Wapo wahamiaji haramu wengi wamejibanza katika maeneo yetu, katika mahoteli yetu, hatujui kila mmoja na nia yake.

Ni muhimu sana kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu kwa usalama wa nchi yetu.

Waha wanawaleta warundi tz kama njugu wako huko mashambani wanaletwa 10,20,30 wanacamp shambani wanafanya yao no body cares wananchi wanashangaa, mabar med kibao malinyi, mbingu, mlimba, kilombero, nchi hii usalama, uhamiaji, Tutajuana mbeleni tupo tunawaangalia.
 
Bado kitengo cha uhamiaji na vingine vinavyo husika vinapaswa viwe makini sana.
endapo msako ukifanyika kwa makini mkoani DSM tu kuna wahamiaji wengi tu.
ni lazima tufanye kazi ya ziada ili kuiweka nchi yetu iendelee kuwa na utulivu na amani, hatutakiwi kubweteka.
kazi iendeleee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom