hivi karibuni nilitaka kunywa soda aina ya bitter lemon inayotengenezwa na bonite bottlers ltd, kampuni tanzu ya ipp. wakati nataka fungua niliona mdudu mkubwa tena ameanza kuoza! sasa nawauliza wan jf. katika karne ya sayansi na teknolojia, viwanda havina umakini wa kufanyia usafi vyombo kama chupa? huo ni uchafu unaoonekana, je uchafu mdogo! be aware......