Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
WanaJF,
Shirika la Under the Same Sun linalotetea haki za walemavu wa ngozi linawania tuzo inayodhaminiwa na taasisi ya kutetea haki za binadamu ya nchini Uholanzi,Human Rights Tulip.
Yapo mashirika 30 kutoka sehemu mbalimbali duniani yanayowania tuzo hiyo.Kutoka Tanzania ni shirika hili pekee lililoingia katika kinyang'anyiro hicho.Tulipigie kura kwa wingi shirika hili kwa muda mchache uliosalia
Mwisho wa kupiga kura ni kabla ya saa sita usiku wa leo
Kura yako ni Sehemu ya kuonyesha sapoti kwa ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi.Tuwaunge mkono na kuwatia moyo kwa kupiga kura kwa wingi kupitia link hii hapa chini.Hebu tufanye hivi kwa ajili ya kupaza sauti zaidi kutetea ndugu zetu,tufanye hivi kwa ajili ya Tanzania
Under The Same Sun | Candidates and Voting | Human Rights Tulip
Shirika la Under the Same Sun linalotetea haki za walemavu wa ngozi linawania tuzo inayodhaminiwa na taasisi ya kutetea haki za binadamu ya nchini Uholanzi,Human Rights Tulip.
Yapo mashirika 30 kutoka sehemu mbalimbali duniani yanayowania tuzo hiyo.Kutoka Tanzania ni shirika hili pekee lililoingia katika kinyang'anyiro hicho.Tulipigie kura kwa wingi shirika hili kwa muda mchache uliosalia
Mwisho wa kupiga kura ni kabla ya saa sita usiku wa leo
Kura yako ni Sehemu ya kuonyesha sapoti kwa ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi.Tuwaunge mkono na kuwatia moyo kwa kupiga kura kwa wingi kupitia link hii hapa chini.Hebu tufanye hivi kwa ajili ya kupaza sauti zaidi kutetea ndugu zetu,tufanye hivi kwa ajili ya Tanzania
Under The Same Sun | Candidates and Voting | Human Rights Tulip