Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,952
- 4,326
Nyarandu mlimwonea sana kwa kutomrudisha akagombee jimbo lake kupitia chama chenu baada ya kuchoshwa na utendaji wa ccm. Hamkumtendea haki hata kidogo. Hadi sasa anasononeka kuukosa ubunge ambao alikuwa ana uhakika angaliurejesha akiwa kamanda. Kama angalijua hangaliamua kuhamia chama hicho chenye roho mbaya. Ndiyo maana hashiriki hata kuwanadi hao wagombea wenu akina Mwalimu.Laiti CCM wangependekeza mgombea mwingine walau inge make sense lakini kumrudisha Mtulia ni matusi kwa wananchi.
Chama cha ccm hakina uonevu wa aina hiyo na ndiyo maana kikampa Mtulia nafasi ya kutetea kiti chake. Eti nyie mliona kumrudisha Nyarandu ingalikuwa ni matusi kwa wananchi!! It is the vice versa - yaani kutomrudisha Nyarandu ilikuwa ni matusi kwa wananchi wa jimbo la Singida kaskazini. Hivyo ni nyoe ndiyo mnastahili kutiwa adabu.