Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Mataga pelekeni watoto shule nzuri wasiwe vichwa maji kama nyie
Hujuwi ulisemalo. Bora ukae kimya yajayo yanafurahishaGTs,
Kwa miaka kazaa tangu awamu ya 5 iingie madarakani kuna wachumi walijitokeza kumpiga sana Dkt magufuli na serikali yake juu ya muelekeo wa uchumi, wengine walienda mbali zaidi na kuona hii nchi ina hali mbaya sana. Wafuatao ni wachumi waliobeza:
1. Professor Ngowi: Alibeza uchumi kwenye andiko lake
2. Zitto Kabwe: Uchumi una hali mbaya
3. Freema Mbowe: Hali Mbaya ya Uchumi
Tuwajadili, je hawa wahusika wana uelewa wa uchumi au wana misukumo ya kisiasa zaidi katika kujadili uchumi wa taifa linalowalisha na kuwapa sehemu nono ya kulala?