Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Bila kujali itikadi,chama,dini,kabila au eneo atokako naomba tuwataje viongozi ambo ni tunu kwa taifa hili.Kupitia wao kuna mambo ambayo yanabadilisha mfumo wa utawala wa ccm.
Kama huna cha kusema au kucomment potezea
Kama huna cha kusema au kucomment potezea