mkuu namba 5 weka mastermindwwa mchezo ntaalam JK KIKWETE apo maana kipindi chake watu waliiba sanaaaa lakn mwamba alijenga barabara shule kila kata mishahara ikapanda kila raia akawa na mkwanja mfukon big up kwake lakn pia Kuna shida apo kwa Samata TOA weka Platnumz mtu anacheza ligi ya watoto ulaya unamueka apoHii imewahi kufanyika baadhi ya nchi kama South Africa, kuweka orodha ya watu muhimu waliochangia maendeleo ya nchi yetu kiuchumi na kisiasa kuanzia kabla ya uhuru na baada ya uhuru.
Tunaweza kupenekeza hii ikafanyika kwa kupiga kura na wajuzi wa historia wakatusaidia kutengeza list ya idadi ya Watanzania hao waliotufikisha hapa tulipo.
Mimi naanza na hawa,
1. Mwl Julius K. Nyerere
2. John Rupia
3. Chief Mkwawa
4. Kinjekitile Ngwale
5. Ally Sykes
6. Abdulwahid Sykes ( Alikuwa Rais wa TAA)
7. Bwana Kasela Bantu.
8. Dossa Azizi (Mikutano mingi ya TANU ilikuwa ikifanyika nyumbani kwake na alikuwa akimrudisha Nyerere nyumbani kwake na gari lake)
9. John Okello
10. Oscar Kambona
11. Abeid Aman Karume
12. Sheikh Suleiman Takadir
13. Zuberi Mtemvu
14. Bi. Titi Mohamed
15. Mtemi Isike
16. Mtemi Milambo
17. Chief Abushiri
18. Chief Mangi Meli
19. Edward Moringe Sokoine
20. Hamza Mwapachu
21. Kleist sykes
22. Salum Abdalah (Mwanamuziki)
23. Mbaraka mwishehe (Mwanamuziki)
24. Paul Bomani
25. Rashid Kawawa
26. Chief Makwaia
30. Salim Ahmed Salim
32. Nduna Songea Mbano: Huyu ni mmoja wa wapiganaji shupavu waliopigana vita ya majimaji, waliokuwa chini ya Chifu wa Wangoni. Wajerumani walijaribu kumnyonga kwa kamba Nduna Songea lakini alikata kamba ya kunyongewa mara tatu hivyo waliamua kumpiga risasi na kukata kichwa chake na kukipeleka Ujerumani ambapo hakijarudishwa mpaka leo.
33. Justinian Rweyemamu (economist, mathematician)
34. Joseph Sinde Warioba
35. Thabit Kombo
36. Cardinal Ruganbwa
37. Said Salim Bakhresa
38. Chifu Nkosi Mputa Gama bin Gwazerapasi: Hiyu alikuwa chifu wa wangoni na ni mmojawa Watanganyika 66 walionyongwa na wajerumani mwaka 1906 wakati wakipigania ukombozi wao kwenye vita ya majimaji.
39. Bwana Heri
40. Omar Bin Makunganya
41. General Abdalah Twalipo
42. Brig. Hashim Mbita
43. Ali Hasan Mwinyi
44. Ali Kidonyo (Aziz Ally). Huyu ni baba yake Dossa Aziz.
45.
46.
47. Jakaya Mrisho Kikwete
48. Sir. George Kahama
49. Thomas Marealle
50. Major General John B. Walden
51. Brigadier General Hassan Ngwilizi.
52. Mbwana Ally Samata
53.
54.
55.
56.
57.
58.
59.
60.
61.
62.
63.
64.
65.
66. Reginald Mengi
67. Edwin Mtei
68. Benjamin Mkapa
70. James Dandu "Cool James"
71. Asha Rose Migiro. Mtanzania pekee kufikia cheo kikubwa UN
72.
73.
74.
75.
76. Filbert Bayi Sanka
77. Shaaban Robert (Novelist, author)
79. Muhammed Said Abdulla (Journelist, novelist)
80. Joseph Mbilinyi
81. Anna Makinda; Spika wa Kwanza mwanamke Tanzania. Na hakuharibu
82. Mama Getrude Mongela: Huyu mama tangu yuko chuo mpaka amekuwa kiongozi kimataifa.
83. Prof. Esther Mwaikambo (the first female doctor and first female Vice chancellor)
84.
85.
86.
87.
88.
89.
90.
91.
92.
93.
94.
95.
96.
97.
98. Maxence Melo
99. King Majuto
100. Naseeb Abd "Diamond Platnumz"
Ni kweli hao jamaa ni Ndugu wa damu Paul ndiye mkubwa.Mkuu hivi Paul Bomani na Mark Bomani ni ndugu wa damu?
Je kuna ukweli kwamba Paul Bomani alifadhili harakati nyingi za Mwalimu Nyerere kudai uhuru?
M.SamattaHii imewahi kufanyika baadhi ya nchi kama South Africa, kuweka orodha ya watu muhimu waliochangia maendeleo ya nchi yetu kiuchumi na kisiasa kuanzia kabla ya uhuru na baada ya uhuru.
Tunaweza kupenekeza hii ikafanyika kwa kupiga kura na wajuzi wa historia wakatusaidia kutengeza list ya idadi ya Watanzania hao waliotufikisha hapa tulipo.
Mimi naanza na hawa,
1. Mwl Julius K. Nyerere
2. John Rupia
3. Chief Mkwawa
4. Kinjekitile Ngwale
5. Ally Sykes
6. Abdulwahid Sykes ( Alikuwa Rais wa TAA)
7. Bwana Kasela Bantu.
8. Dossa Azizi (Mikutano mingi ya TANU ilikuwa ikifanyika nyumbani kwake na alikuwa akimrudisha Nyerere nyumbani kwake na gari lake)
9. John Okello
10. Oscar Kambona
11. Abeid Aman Karume
12. Sheikh Suleiman Takadir
13. Zuberi Mtemvu
14. Bi. Titi Mohamed
15. Mtemi Isike
16. Mtemi Milambo
17. Chief Abushiri
18. Chief Mangi Meli
19. Edward Moringe Sokoine
20. Hamza Mwapachu
21. Kleist sykes
22. Salum Abdalah (Mwanamuziki)
23. Mbaraka mwishehe (Mwanamuziki)
24. Paul Bomani
25. Rashid Kawawa
26. Chief Makwaia
30. Salim Ahmed Salim
32. Nduna Songea Mbano: Huyu ni mmoja wa wapiganaji shupavu waliopigana vita ya majimaji, waliokuwa chini ya Chifu wa Wangoni. Wajerumani walijaribu kumnyonga kwa kamba Nduna Songea lakini alikata kamba ya kunyongewa mara tatu hivyo waliamua kumpiga risasi na kukata kichwa chake na kukipeleka Ujerumani ambapo hakijarudishwa mpaka leo.
33. Justinian Rweyemamu (economist, mathematician)
34. Joseph Sinde Warioba
35. Thabit Kombo
36. Cardinal Ruganbwa
37. Said Salim Bakhresa
38. Chifu Nkosi Mputa Gama bin Gwazerapasi: Hiyu alikuwa chifu wa wangoni na ni mmojawa Watanganyika 66 walionyongwa na wajerumani mwaka 1906 wakati wakipigania ukombozi wao kwenye vita ya majimaji.
39. Bwana Heri
40. Omar Bin Makunganya
41. General Abdalah Twalipo
42. Brig. Hashim Mbita
43. Ali Hasan Mwinyi
44. Ali Kidonyo (Aziz Ally). Huyu ni baba yake Dossa Aziz.
45.
46.
47. Jakaya Mrisho Kikwete
48. Sir. George Kahama
49. Thomas Marealle
50. Major General John B. Walden
51. Brigadier General Hassan Ngwilizi.
52. Mbwana Ally Samata
53.
54.
55.
56.
57.
58.
59.
60.
61.
62.
63.
64.
65.
66. Reginald Mengi
67. Edwin Mtei
68. Benjamin Mkapa
70. James Dandu "Cool James"
71. Asha Rose Migiro. Mtanzania pekee kufikia cheo kikubwa UN
72.
73.
74.
75.
76. Filbert Bayi Sanka
77. Shaaban Robert (Novelist, author)
79. Muhammed Said Abdulla (Journelist, novelist)
80. Joseph Mbilinyi
81. Anna Makinda; Spika wa Kwanza mwanamke Tanzania. Na hakuharibu
82. Mama Getrude Mongela: Huyu mama tangu yuko chuo mpaka amekuwa kiongozi kimataifa.
83. Prof. Esther Mwaikambo (the first female doctor and first female Vice chancellor)
84.
85.
86.
87.
88.
89.
90.
91.
92.
93.
94.
95.
96.
97.
98. Maxence Melo
99. King Majuto
100. Naseeb Abd "Diamond Platnumz"