Ufunuo wa Yohana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 318
- 67
Ndugu wana JF
mimi binafsi nimefarijika mno kuona JF inarudi salama kabisa. Tulikuwa ukimbizini KLH News. Bila kusita natoa pongezi za dhati kwa M.M.Mwanakijiji na uongozi wote wa KLHN kwa kukubali kwao kutupokea ktk kipindi kigumu tulichokuwanacho. Mzee tunashukuru sana.
Blila KLHN tusingekuwa tunajua JF inarudi au la, lakini tulipata hayo yote na habari zingine nyingi za uhakika ktk KLHN.
Nashukuru kwa Uongozi wote wa JF (invisible na moderator wote0) na nitoe pole kwa vijana wetu wawili, mike na Mac kwa usumbufu wote walioupata.
Na nitoe pole kwa mafisadi mapema kabisa na wote waliokuwa wanafurahia kutokuwa hewani kwa JF. You are going to be in trouble now! believe me or not.
Big up JF and God be with you all.
mimi binafsi nimefarijika mno kuona JF inarudi salama kabisa. Tulikuwa ukimbizini KLH News. Bila kusita natoa pongezi za dhati kwa M.M.Mwanakijiji na uongozi wote wa KLHN kwa kukubali kwao kutupokea ktk kipindi kigumu tulichokuwanacho. Mzee tunashukuru sana.
Blila KLHN tusingekuwa tunajua JF inarudi au la, lakini tulipata hayo yote na habari zingine nyingi za uhakika ktk KLHN.
Nashukuru kwa Uongozi wote wa JF (invisible na moderator wote0) na nitoe pole kwa vijana wetu wawili, mike na Mac kwa usumbufu wote walioupata.
Na nitoe pole kwa mafisadi mapema kabisa na wote waliokuwa wanafurahia kutokuwa hewani kwa JF. You are going to be in trouble now! believe me or not.
Big up JF and God be with you all.