Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Hawa wazee wetu wengi wao wakistaafu basi anakuwa amerelax kabisa. Umejitahidi kuwaboreshea wazee makazi, unawawekea vijana wa kuwasaidia shughuli na wao wanaona maisha ndiyo haya.
Asubuhi wanaamshwa wafungue kinywa kila kitu kiko mezani. Baada ya hapo wanaangalia TV,mchana wanaitwa chakula tayari na jioni hivyo. Huu ndiyo mwanzo wa matatizo. Si muda mrefu mtaanza kupelekana hospitali kwa matatizo ya moyo, miguu, kisukari etc.
Washauri wachangamshe viungo kila asubuhi. Hata kuwahi msikitini au kanisani kila siku ni faida ya roho na mwili.
Kustaafu ichukuliwe kama kufanya mambo kwa muda wako lakini si kuwa umeacha kabisa kuishi kila kitu ufanyiwe.
Asubuhi wanaamshwa wafungue kinywa kila kitu kiko mezani. Baada ya hapo wanaangalia TV,mchana wanaitwa chakula tayari na jioni hivyo. Huu ndiyo mwanzo wa matatizo. Si muda mrefu mtaanza kupelekana hospitali kwa matatizo ya moyo, miguu, kisukari etc.
Washauri wachangamshe viungo kila asubuhi. Hata kuwahi msikitini au kanisani kila siku ni faida ya roho na mwili.
Kustaafu ichukuliwe kama kufanya mambo kwa muda wako lakini si kuwa umeacha kabisa kuishi kila kitu ufanyiwe.