CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,957
Jamii Forum ni kijiji cha watu wengi sana,chenye vitongoji,kata na wilaya za kutosha ambazo jambo moja linaweza tokea Jukwaa flani,mtu wa jukwaa Lingine akashindwa liona,tupo watu tofauti humu JF wenye uwezo/masikini,nk nk.
Sitaki kuandika thread ndefu maana sina point zaidi ya ombi 1 kwenu wote mtaoweza soma hii thread ambayo nitakua na i update kwa kuitia . (nukta) kila siku iitwayo leo (nitakayoingia JF).
Nimeshuhudia watu wakifariki JF ambao siwezi sema nilikua na uwezo wa kuwasaidia ila naweza kusema nilikua na uwezo wa kufanya chochote juu yao (hata kama kingekua kidogo) siwezi jua kidogo changu kingewasaidiaje au wangekichukuliaje.
kupitia kutochangia chochote kwa hawa watu naombeni msaada kuanzia leo Mtu yeyote atae ona member yeyote (yuko serious) anahitaji msaada/anaonyesha kuchoka/kukata tamaaa naombeni mni TAG hata kama huna uwezo wa kumwambia pole,hata kama thread yake inaonekana ya kitapeli naombeni mni TAG mimi nitajua kama ni tapeli au sio tapeli.
Point yangu ni kwamba sitaki kupitwa tena/kuwa sababu/kutofanya kitu kwa hawa waliokata tamaa,member mpauko kaniuma sana ki ukweli huyu ndugu kajimaliaza kwasababu ya upweke (hakua na mtu hata wa kumpa pole) sipo tyr hili litokee TENA kwa member yeyote alie JamiiForums.
kuna thread nyingi sana sizipati,ila naomba kuanzia leo yeyote ataekutana na thread ya muhitaji kama hawezi msaidia naomba kwenye comment a comment user name Langu CONTROLA nikiingia online nitakuta notification nitajua cha kufanya.
kwa sasa ninaemfahamu ambae sitokubali ajipeleke ni Mayala B huyu ndugu yangu naombeni msimpuuze na hata mkimpuuza mimi nimesema Mayala B siwezi kubali ukaondoka otherwise uwe tu una hamu ya kuondoka ila sio MAISHA yawe sababu.
Tag CONTROLA popote unapoona pana uhitaji,Tag ID yangu bila kukosea
SI(c) O(o) EN(n) TI(t) ARA(r) O(o) EL(l) EI(a) = CONTROLA
Popote utapoona wewe pamekugusa naomba namiimi usiache ni tag nifanye chochote kitu,JF ina thread nyingi sana sana sana na nyingi zinatupita wengine,naomba kuanzia Leo niwe KAKA wa kila mwenye kukata tamaa YES i am Na Mungu atanisaidia.
Sitaki kuandika thread ndefu maana sina point zaidi ya ombi 1 kwenu wote mtaoweza soma hii thread ambayo nitakua na i update kwa kuitia . (nukta) kila siku iitwayo leo (nitakayoingia JF).
Nimeshuhudia watu wakifariki JF ambao siwezi sema nilikua na uwezo wa kuwasaidia ila naweza kusema nilikua na uwezo wa kufanya chochote juu yao (hata kama kingekua kidogo) siwezi jua kidogo changu kingewasaidiaje au wangekichukuliaje.
kupitia kutochangia chochote kwa hawa watu naombeni msaada kuanzia leo Mtu yeyote atae ona member yeyote (yuko serious) anahitaji msaada/anaonyesha kuchoka/kukata tamaaa naombeni mni TAG hata kama huna uwezo wa kumwambia pole,hata kama thread yake inaonekana ya kitapeli naombeni mni TAG mimi nitajua kama ni tapeli au sio tapeli.
Point yangu ni kwamba sitaki kupitwa tena/kuwa sababu/kutofanya kitu kwa hawa waliokata tamaa,member mpauko kaniuma sana ki ukweli huyu ndugu kajimaliaza kwasababu ya upweke (hakua na mtu hata wa kumpa pole) sipo tyr hili litokee TENA kwa member yeyote alie JamiiForums.
kuna thread nyingi sana sizipati,ila naomba kuanzia leo yeyote ataekutana na thread ya muhitaji kama hawezi msaidia naomba kwenye comment a comment user name Langu CONTROLA nikiingia online nitakuta notification nitajua cha kufanya.
kwa sasa ninaemfahamu ambae sitokubali ajipeleke ni Mayala B huyu ndugu yangu naombeni msimpuuze na hata mkimpuuza mimi nimesema Mayala B siwezi kubali ukaondoka otherwise uwe tu una hamu ya kuondoka ila sio MAISHA yawe sababu.
Tag CONTROLA popote unapoona pana uhitaji,Tag ID yangu bila kukosea
SI(c) O(o) EN(n) TI(t) ARA(r) O(o) EL(l) EI(a) = CONTROLA
Popote utapoona wewe pamekugusa naomba namiimi usiache ni tag nifanye chochote kitu,JF ina thread nyingi sana sana sana na nyingi zinatupita wengine,naomba kuanzia Leo niwe KAKA wa kila mwenye kukata tamaa YES i am Na Mungu atanisaidia.