CCM wangetumia 30% ya hela walizotumia ili kupata mbunge moja wangeweza kujenga zahanati katika kila kata Igunga
CDM wangetumia 30% ya hela walizotumia ili kupata mbunge (japo wamemkosa) wangeweza kukarabati shule zote za msingi Igunga
CUF wangetumia 30% ya hela walizotumia ili kupata kura 2000 wangeweza kujenga barabara za kata zote za igunga...
Tunatumia pesa nyingi kutafuta madaraka kuliko pesa tunazotumia kuleta maendeleo????...
Je CDM, CCM na CUF wako tayari kufanya harakati kama hizo katika jimbo lolote (hata la mfano tu) ili kuleta maendeleo kwa wananchi?
Regia anaandika aliyoyakuta igunga..je yuko tayari kuwashawishi viongozi wa chama chake watumie 30% ya hela walizotumia kusaidia wana igunga au ni kugombea madaraka tu..
CDM wangetumia 30% ya hela walizotumia ili kupata mbunge (japo wamemkosa) wangeweza kukarabati shule zote za msingi Igunga
CUF wangetumia 30% ya hela walizotumia ili kupata kura 2000 wangeweza kujenga barabara za kata zote za igunga...
Tunatumia pesa nyingi kutafuta madaraka kuliko pesa tunazotumia kuleta maendeleo????...
Je CDM, CCM na CUF wako tayari kufanya harakati kama hizo katika jimbo lolote (hata la mfano tu) ili kuleta maendeleo kwa wananchi?
Regia anaandika aliyoyakuta igunga..je yuko tayari kuwashawishi viongozi wa chama chake watumie 30% ya hela walizotumia kusaidia wana igunga au ni kugombea madaraka tu..