chief swetu
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 210
- 228
Jamani wana-Jf kuna wahanga wakubwa sana wa- kisaikolojia, ambao ni baadhi ya watu wa kipato cha chini sana(mafukara) lakini wamepata bahati ya kupendwa na watoto wa kike/kiume wa matajiri, waliokataa kuingia kwenye mahusiano na watoto wa matajiri kwa kuhofia uwezo wao kiuchumi baadhi yao habari za vitisho wanazo kutoka kwa wazazi wa matajiri.
Lakin pia waliokubali kuingia kwenye mahusiano na hata ndoa baadhi yao familia zmewapokea vyema, lakin wale wenzangu na mm imekua ni mateso, kilio na kusaga meno. Kila unalofanya hata kama jema aisee ni dharau na kebehi mpk unataman kuvunja ndoa.
Hata la kufanya hatulioni. Kwa Wale wahanga wenzangu tupeane maarifa jinsi ya kuishi na hawa watu, kibaya zaidi wale tulioingia nao kwenye mahusiano ndo hawataki kabisa kusikia habari inayoitwa kuachana.
Lakin pia waliokubali kuingia kwenye mahusiano na hata ndoa baadhi yao familia zmewapokea vyema, lakin wale wenzangu na mm imekua ni mateso, kilio na kusaga meno. Kila unalofanya hata kama jema aisee ni dharau na kebehi mpk unataman kuvunja ndoa.
Hata la kufanya hatulioni. Kwa Wale wahanga wenzangu tupeane maarifa jinsi ya kuishi na hawa watu, kibaya zaidi wale tulioingia nao kwenye mahusiano ndo hawataki kabisa kusikia habari inayoitwa kuachana.