Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,039
- 2,199
baada ya kufanya maandamano ya kushinikiza upatikanaji wa umeme hatimaye mafundi wa Tanesko wameweka kambi mjini humo ili kuhakikisha umeme unapatikana.
Hali ya umeme imeanza kuwa nzuri na hii inaashiria wananchi wakiamua hakuna linaloshindikana.
BRAVO WANASONGEA!
Hali ya umeme imeanza kuwa nzuri na hii inaashiria wananchi wakiamua hakuna linaloshindikana.
BRAVO WANASONGEA!