FactKuna usemi unasema utavuna ulichopanda, kama ulipanda ubusy kwa wanao, utavuna ubusy.
Kama ulipanda upendo utavuna upendo.
Kama ulipanda ukorofi utavuna ukorofi
Hakuna kuokota dodo kwenye mkaratusi yaani huwezi kutunzwa, kupendwa, kutembelewa kama hukupanda hivyo kwa wanao.
Angalizo: tenda wema nenda zako usingoje malipo na haina formula kuna wazazi wanafanya yote hayo na bado hawavuni walichopanda. Na kuna watoto wanapanda mema kwa wazazi wao na bado wao hawaji kuvuna walichopanda pamoja na kuwa wazazi wao hawakupanda mema kwao.
Kila mmoja kwa nafasi yake atende wajibu wake bila kutegemea mrejesho wa alichofanya = tenda wema nenda zako.
#Sambaza Upendo Make the World a Better Place to live.
Tuwapende na kuwajali wazazi wetu pindi wanapokua haiView attachment 1196622