Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Mimi naamini kabisa kundi la bwana Lowassa tukiwapa TAIFA hili kuliongoza basi tunaweza tukapiga kabisa maendeleo. Kundi ninalolitaja ni hili lafuatalo.
1. Edward Lowassa
2. Rostam Aziz
3. Nazir Karamag
4. Andrew Chenge
5. Nimrod Mkono
Mimi kwa mawazo yangu tupate viongozi ambao hawatafanya mambo yafuatayo na hao lazima wawe ni viongozi wenye uwezo.
1. Hawatakula hela za miradi ya kupambana na malaria, ukimwi, matende
2. Hawatakula hela za miradi ya kilimo, mbolea, majosho, elimu
3. Hawatachukua allowance za kusafiri halafu wasisafiri
4. Hawatakula hela za miradi ya jamii.
Kundi hili lenye uwezo halitakula hela za maendeleo ya jamaii bali wao wata focus mtwara kwenye mafuta na gas ambapo hata wasipochukuwa hivyo vitalu wazungu watachukua tu. Hivyo tuwape nchi watu wenye uwezo.
1. Edward Lowassa
2. Rostam Aziz
3. Nazir Karamag
4. Andrew Chenge
5. Nimrod Mkono
Mimi kwa mawazo yangu tupate viongozi ambao hawatafanya mambo yafuatayo na hao lazima wawe ni viongozi wenye uwezo.
1. Hawatakula hela za miradi ya kupambana na malaria, ukimwi, matende
2. Hawatakula hela za miradi ya kilimo, mbolea, majosho, elimu
3. Hawatachukua allowance za kusafiri halafu wasisafiri
4. Hawatakula hela za miradi ya jamii.
Kundi hili lenye uwezo halitakula hela za maendeleo ya jamaii bali wao wata focus mtwara kwenye mafuta na gas ambapo hata wasipochukuwa hivyo vitalu wazungu watachukua tu. Hivyo tuwape nchi watu wenye uwezo.