Tuwape "Gia" ya kutokea

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,460
39,928
Kwa vile suala hili la "tunguri" na "sayansi mamboleo" linaweza kuabisha bunge, kudhalilisha "waheshimiwa" na kulifanya Taifa letu lionekane miongoni mwa mataifa yanayoamini sana "nguvu za giza" nimeonelea kuwa sisi JF kwa vile mara nyingi tumekuwa wakosoaji na tunalaumiwa kuwa hatutoi mapendekezo ya kutatua matatizo "solutions" basi huu ndio wakati muafaka.

Hivyo ili tusiache Bunge letu lidharirike na jambo hili tulimalize kifamilia basi naomba kuwaalika kutoa mapendekezo ya nini "uchunguzi" useme ili jambo hili limalizwe "kiutuzima". Kwa maneno mengine naomba tuwarushie CCM, na Bunge kamba ya kutokea katika shimo walilolichimba wenyewe wakatumbukia; kwa maneno mengine tuwapatie "gia" ya kutokea kwenye tope walilolikwamisha gari lao wenyewe.

Hivyo tutoe mapendekezo Bunge na Uchunguzi useme nini ili turidhike. Mapendekezo hayo naomba yazingatie mambo makubwa yafuatayo.

a. Yawe ya kuaminika
b. Yaelezee kilichotokea (kwa sababu ushahidi wa tepu upo, hivyo kukana "haikutokea" haiwezekani.
c. Yamlinde Bwana Chenge na kumfanya aonekane "ameonewa, kusingiziwa, au kugeuzwa Bangusilo".
d. Yalinde heshima ya Bunge kuwa wabunge wetu hawaamini mambo ya kishirikina.
e. Wakielezwa wananchi lazima washangilie kuwa serikali hatimaye imemsafisha Chenge na Bunge.
f. Yahakikishe kuwa lolote litakalomkuta Bunge yeyote aliyehusika na mojawapo ya Kamati au kuvalia njuga "issue" fulani hapatwi na "shinikizo, ajali ya ajabu ajabu n.k) kabla ya uchaguzi ujao. Hili najua litakuwa gumu lakini sidhani kama kuna mtu yeyote atakayeelewa kilichotokea endapo yeyote kati yao atadhurika.

Mimi nitatoa mapendekezo yangu Jumatano. Naomba tuwasaidie Bunge, CCM n.k wapate "cha kutokea nacho" na wakwepe aibu. Tuache itikadi za chama na tuoneshe mshikamano, umoja na upendo wetu wa Kitaifa kwani wakiadhirika basi sote tumeadhirika. Tuwahifadhi CCM.
 
Kwa vile suala hili la "tunguri" na "sayansi mamboleo" linaweza kuabisha bunge, kudhalilisha "waheshimiwa" na kulifanya Taifa letu lionekane miongoni mwa mataifa yanayoamini sana "nguvu za giza" nimeonelea kuwa sisi JF kwa vile mara nyingi tumekuwa wakosoaji na tunalaumiwa kuwa hatutoi mapendekezo ya kutatua matatizo "solutions" basi huu ndio wakati muafaka.

Hivyo ili tusiache Bunge letu lidharirike na jambo hili tulimalize kifamilia basi naomba kuwaalika kutoa mapendekezo ya nini "uchunguzi" useme ili jambo hili limalizwe "kiutuzima". Kwa maneno mengine naomba tuwarushie CCM, na Bunge kamba ya kutokea katika shimo walilolichimba wenyewe wakatumbukia; kwa maneno mengine tuwapatie "gia" ya kutokea kwenye tope walilolikwamisha gari lao wenyewe.

Hivyo tutoe mapendekezo Bunge na Uchunguzi useme nini ili turidhike. Mapendekezo hayo naomba yazingatie mambo makubwa yafuatayo.

a. Yawe ya kuaminika
b. Yaelezee kilichotokea (kwa sababu ushahidi wa tepu upo, hivyo kukana "haikutokea" haiwezekani.
c. Yamlinde Bwana Chenge na kumfanya aonekane "ameonewa, kusingiziwa, au kugeuzwa Bangusilo".
d. Yalinde heshima ya Bunge kuwa wabunge wetu hawaamini mambo ya kishirikina.
e. Wakielezwa wananchi lazima washangilie kuwa serikali hatimaye imemsafisha Chenge na Bunge.
f. Yahakikishe kuwa lolote litakalomkuta Bunge yeyote aliyehusika na mojawapo ya Kamati au kuvalia njuga "issue" fulani hapatwi na "shinikizo, ajali ya ajabu ajabu n.k) kabla ya uchaguzi ujao. Hili najua litakuwa gumu lakini sidhani kama kuna mtu yeyote atakayeelewa kilichotokea endapo yeyote kati yao atadhurika.

Mimi nitatoa mapendekezo yangu Jumatano. Naomba tuwasaidie Bunge, CCM n.k wapate "cha kutokea nacho" na wakwepe aibu. Tuache itikadi za chama na tuoneshe mshikamano, umoja na upendo wetu wa Kitaifa kwani wakiadhirika basi sote tumeadhirika. Tuwahifadhi CCM.

naomba kutofautiana nawe, hakuna cha kumlinda mtu wala chama. Wamelikoroga lazima walinywe.hayo ni mawazo yangu
 
Mkuu vipi tena?? Mwanzo ilikuwa ceasefire.....mara 'gia' ya kutokea....imekuwaje?? Kwani hizo 'tunguri' na 'sayansi mamboleo' zimevuka bahari na kukuingilia huko motown city?? Ghafla unataka kumaliza mambo 'kifamilia'.....na wewe uko kwenye hiyo familia yao ya mafisadi tangu lini??
Kama ni aibu.....itakuwa ya Chenge na huyo mshirikina/shirika aliyefuatana naye si ya waTZ!
 
Huyu ni mtanzania na contradicting ideas!Waafrica tutafika kweli?na ukigeugeu huu?
 
Jamani mbona mnasoma kwa jazba .Huu ni uwanja na jamaa kama mwanakijiji ameleta mawazo yake binafsi na kuleta maombi .Pia alichosema bado kinawaumiza CCM .Maana tutawapa pa kutokea baada ya wao kushindwa na wamerikoroga basi sijaona ubaya wa maoni ya Mwanakijiji.Leo akisema kwamba CCM wamefanya hili ama lile kwa maoni yake he is entitled na wewe unaweza kubakia na msimamo na ukamwaga hapa .Kumnyoma Nyani si lazima kumwagia madongo pekee hata kumpa sifa ambazo anaona kabisa kwamba anakomwa pia ni kumkoma tu .
 
Jamani mbona mnasoma kwa jazba .Huu ni uwanja na jamaa kama mwanakijiji ameleta mawazo yake binafsi na kuleta maombi .Pia alichosema bado kinawaumiza CCM .Maana tutawapa pa kutokea baada ya wao kushindwa na wamerikoroga basi sijaona ubaya wa maoni ya Mwanakijiji.Leo akisema kwamba CCM wamefanya hili ama lile kwa maoni yake he is entitled na wewe unaweza kubakia na msimamo na ukamwaga hapa .Kumnyoma Nyani si lazima kumwagia madongo pekee hata kumpa sifa ambazo anaona kabisa kwamba anakomwa pia ni kumkoma tu .
Hapa mmeonekana mmeshindwa kwa habari za uongo?za kusema uchawi hata aibu hamna!sasa eti mnataka mjidai kuonekana kumfunika Chenge?nyie ni nani mmfunike?Ukweli ndo umeonekana kama mmeshindwa mmeshindwa tu!
 
Wakuu katika hili naomba tuwe wazi. Kisu kiitwe kisu na kijiko kiitwe kijiko. Tusirembe wala tusiwalinde, wamelikoroga hivyo ni shurti walinywe. Kumbukeni kuwa mficha maradhi kilio kitamfichua. Waache waumbuke na katika hilo itakuwa ni fundisho na somo zuri kwa wengine.
 
Spika amemaliza kuzungumza muda mfupi uliopita na anasema suala hili lichukuliwe kama ni UVUMI tu hadi hapo UCHUNGUZI unaoendelea utakapothibitisha vinginevyo!
 
naona tukubali tu ni "uvumi" tu hiyo is the best gia... ili tuendelee na mjadala wa masuala mengine ya Taifa.
 
Spika amemaliza kuzungumza muda mfupi uliopita na anasema suala hili lichukuliwe kama ni UVUMI tu hadi hapo UCHUNGUZI unaoendelea utakapothibitisha vinginevyo!

The speaker is right on this. Isije ikawa ni camera tricks ambazo zimetengenezwa na "wabaya" wa Chenge ili kumchafua zaidi baada ya yeye kujichafua.
 
Ikibainika kuwa ni tukio la kisangoma lilifanywa,basi huyu mhusika achukuliwe hatua kulingana na kanuni za bunge.Tusifiche uovu utatutafuna huko mbeleni.Hatujui labda kuna wengine hawajabainika nao huwa wanafanya hayo hayo.Ikijirudia nao tuwaonye kifamilia?.

Ukizingatia hakuna aliye na hakika na huo unga(isipokuwa mhusika) unafanyaje kazi,tusifanye ajizi kwa kuachia kirahisi kabla hatujaona matokeo ya madhara yake.Unaweza ukawa na madhara hata kwa ambao hawakukusudiwa(Mtego wa panya hunasa.............).

Hata spika aseme ni UVUMI,ataliondaeje kwenye akili za wananchi ambao wamesha perceive kuwepo namna ya usangoma?Na mtuhumiwa amekuwa na kashfa kadhaa tu hivi karibuni.Wananchi wanachuja hata maelezo ya watawala wanatoa habari.Ile siku Kamanda Tiba alipotoa taarifa za DITO kugonga gonga dirisha la kioo cha daladala risasi ikafyatuka,haikuwaingia akilini watu,walijua hapa maelezo hayajitoshelezi kwa tukio lililotokea

Kama kuna ukweli ,Hatua zichukuliwe liwe fundisho kwa wanaotegemea chemikali,mizizi ya miti kuliko muumba wao.
 
Spika amemaliza kuzungumza muda mfupi uliopita na anasema suala hili lichukuliwe kama ni UVUMI tu hadi hapo UCHUNGUZI unaoendelea utakapothibitisha vinginevyo!

Kasema ni uvumi lakini, kwa mujibu wa gazeti, hapo hapo kakemea kitendo kilichofanyika!

Speaker’s team to probe vodoo’ rituals in Bunge


MASEMBE TAMBWE in Dodoma
Daily News; Sunday,June 15, 2008 @00:0


Tanzania's beliefs of the occult have finally forced Parliament to form a special probe committee to establish the truth about one of its member suspected of having performed ‘witchcraft’ rituals within the premises of the august House in Dodoma, the Speaker of the National Assembly, Mr Samuel Sitta has announced.

Mr Sitta told a seminar for members of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) National Executive Committee in Dodoma that the committee – made of up of the Dodoma Regional Police Commander, the national security agency and other security organs – was set up over the weekend to look into allegations that an MP conducted ‘superstitious practices’ within the Parliament building.

Right now, investigations were underway, the Speaker said. “I am aware of the rumours … that superstitious practices are alleged to have taken place … although it’s possible that they occurred, we have to wait until the investigations … which are now in progress are completed,” he said.

Mr Sitta explained that the six cameras within Parliament were switched off at the time the 'witchcraft' practices were said to have taken place, but added “there was one camera on in the studio.” He fell short of saying it actually happened when he alluded to “hazy pictures” the police “were working on to create a better picture.”

In so many words, the Speaker said it was “perplexing to see such dignitaries in society practicing witchcraft in this era of science and technology.” He also assured the public that “necessary precautions” had been taken to ensure that such occurrences did not happen again.

Without committing himself, the Speaker admitted that the MP for Kyela (CCM), Dr Harrison Mwakyembe, last Thursday “felt weak” and “lost strength” in the course of the day’s Parliamentary session. But the Speaker said he could not link the ‘witchcraft’ ploy to Dr Mwakyembe’s illness at the time – saying the doctor who treated Dr Mwakyembe found him to be suffering from stress.

Even then, he admitted that “some powders were found where he was sitting.” Dr Mwakyembe’s is reportedly recovering - steadily. Dr Mwakyembe is famous for leading a Parliamentary probe committee on the multi-billion emergency power supply scam which implicated the

Richmond Development Company – which subsequently led to the resignation of the former Prime Minister Edward Lowassa, former Minister for Energy and Minerals Mr Nizar Karamagi and former Minister for East Africa Cooperation Dr Ibrahim Msabaha.

The Mwakyembe committee of the time called for the company's deregistration, the arrest and prosecution of all senior government officials implicated in the shady power-generating tender. The committee had also urged the government to take action against the culprits within three months.
 
. Hivyo ili tusiache Bunge letu lidharirike na jambo hili tulimalize kifamilia basi naomba kuwaalika kutoa mapendekezo ya nini "uchunguzi" useme ili jambo hili limalizwe "kiutuzima". Kwa maneno mengine naomba tuwarushie CCM, na Bunge kamba ya kutokea katika shimo walilolichimba wenyewe wakatumbukia; kwa maneno mengine tuwapatie "gia" ya kutokea kwenye tope walilolikwamisha gari lao wenyewe. Hivyo tutoe mapendekezo Bunge na Uchunguzi useme nini ili turidhike. Mapendekezo hayo naomba yazingatie mambo makubwa yafuatayo. a. Yawe ya kuaminika b. Yaelezee kilichotokea (kwa sababu ushahidi wa tepu upo, hivyo kukana "haikutokea" haiwezekani. c. Yamlinde Bwana Chenge na kumfanya aonekane "ameonewa, kusingiziwa, au kugeuzwa Bangusilo". d. Yalinde heshima ya Bunge kuwa wabunge wetu hawaamini mambo ya kishirikina. e. Wakielezwa wananchi lazima washangilie kuwa serikali hatimaye imemsafisha Chenge na Bunge. f. Yahakikishe kuwa lolote litakalomkuta Bunge yeyote aliyehusika na mojawapo ya Kamati au kuvalia njuga "issue" fulani hapatwi na "shinikizo, ajali ya ajabu ajabu n.k) kabla ya uchaguzi ujao. Hili najua litakuwa gumu lakini sidhani kama kuna mtu yeyote atakayeelewa kilichotokea endapo yeyote kati yao atadhurika. Mimi nitatoa mapendekezo yangu Jumatano. Naomba tuwasaidie Bunge, CCM n.k wapate "cha kutokea nacho" na wakwepe aibu. ..... mkuu mkjj, kwanza ni vizur kama unaleta hoja inayotakiwak uchangia maazo mawazo yako kwanza. u bring an issues, u need to provide ur point of view hapo hapo sio mambo ya 3 days later. kujibu swali lako, tuwasamehe kwa kosa gani? they need to put it in record waseme wamekosea. kuanzia ofisa wa bunge, na mbunge pia. they need to came clean. and promise they will change the way the run bunge and hao ccm waseme watajirebisha. then only then i might consider kuwapa second chance.. they need to earn it.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom