kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,289
- 12,582
Waandishi wa habari Ni mhimili muhimu sana katika utawala bora na uibuaji wa kero za watu na makundi mbalimbali, lakini Waandishi wetu huwa wamekumbwa na kadhia ya kushindwa kuripoti kile wanachotaka kuripoti na kile wanachopaswa kuripoti kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kukosa weledi, woga, kuvizia kuteuliwa, nk.
Msiache kuwaombea watanzania wenzetu hawa kila mnapopata fursa ya kufanya hivyo.
Msiache kuwaombea watanzania wenzetu hawa kila mnapopata fursa ya kufanya hivyo.