Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thomas Sankara A.K.A Che wa Africa,,,Rais wa zaman wa Bukina faso alieuawa akiwa madarakani Anaitwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Thomas sankaraRais wa zaman wa Bukina faso alieuawa akiwa madarakani Anaitwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna MDAU alishaweka ukurasa wa pili.jirani weka che guivera image,,,plz,,
Yap! huyu rais nilisoma habari yake dah! mara chache sana viongoz wa type yake kupatikana duniani. but vizuti huwa havidumu R.I.PThomas sankara
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Yaap mkuu moja ya marais nao wapenda sana.. rafiki yake wa kufa kuzikana alimgeuka.. imagine alikua ashajua kua rafiki yake ana mpango wa kumpindua ila akasema unaweza kumuua Blaise Campaole (?) Ila huwez kuua spirit ya Mapinduzi. And kwel rafikiye Campaole akamuuaYap! huyu rais nilisoma habari yake dah! mara chache sana viongoz wa type yake kupatikana duniani. but vizuti huwa havidumu R.I.P
Sent using Jamii Forums mobile app