hamidshaban
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 262
- 32
jamani ni tangu asubuhi M.Pesa haipatikani! Nko ugenini nina vicent vyangu kwenye m.pesa kila nkijarib kutoa inashindikana! Hii mijitu ikoje!
hilo ndo linakufanya uwakimbie? mbona ni tatizo la kawaida kwenye electronics? hata kwenye mabenki sometimes networkjamani ni tangu asubuhi M.Pesa haipatikani! Nko ugenini nina vicent vyangu kwenye m.pesa kila nkijarib kutoa inashindikana! Hii mijitu ikoje!