Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Kutokana na hali ya mambo ilivyo hapa nchini na haja ya kuongeza kasi yetu ya maendeleo kwa wananchi wa nchi hii, napendekeza tuyakabidhi Majeshi yetu, chini ya uongozi wa JWTZ, majukumu yafuatayo:
1. Uifadhi, usimamizi na uendelezaji wa vyanzo vyetu vya maji hapa nchini.
2. Barabara za Mikoa , Wilaya na Vijiji na kuhakikisha kuwa zinapitika muda wote wa mwaka.
3. Wapande miti kandokando ya Barabara zetu zote (pande zote mbili) nchini pamoja na zile za TANAPA. Aina ya miti inayopendekezwa ni Miashoki na Miarubaini na mingine kulingana na eneo husika.
1. Uifadhi, usimamizi na uendelezaji wa vyanzo vyetu vya maji hapa nchini.
2. Barabara za Mikoa , Wilaya na Vijiji na kuhakikisha kuwa zinapitika muda wote wa mwaka.
3. Wapande miti kandokando ya Barabara zetu zote (pande zote mbili) nchini pamoja na zile za TANAPA. Aina ya miti inayopendekezwa ni Miashoki na Miarubaini na mingine kulingana na eneo husika.