Tuwajue washauri wa jk

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Juzi juzi nimeona tumekuwa informed nafasi ya january makamba imezibwa. Binafsi sioni kazi ya January makamba kama ilikuwa nyeti au muhimu sana kulingansiha na watu wengine ambao hata media hatusikii zikiwataja.

Je tunaweza kuwajua kwa majina washauri wa rais ikulu kwa majina kwenye masuala haya.

  1. Fedha,Uchumi, Biashara na uwezeshaji
  2. Kilimo ,Mifugo
  3. Nishati na Madini
  4. Sheria
  5. Siasa
  6. Ulinzi na Usalama
  7. Siasa
  8. etc
Tujuzane kwa majina watu hawa ambao ni muhimu.

Nawasilisha kwa maoni/mjadala
 
Uchumi....Dr, Mwinyimvua.....huyu alikuaga head economics department UDSM mwaka 2006/07
 
Uchumi....Dr, Mwinyimvua.....huyu alikuaga head economics department UDSM mwaka 2006/07

Thank you. je aliwai kufanya kazi kwneye taasii yeyote kabla ya kwenda UDSM ? Je ni muumin wa sera gani za kiuchumi ?
Nilisikia kuna kipindi mshauri wa kagame masuala ya Uchumi alikuwa Tony Blair.

Anyway nadhani ni muda muafaka vyombo vya habari na JF ikiwemo kuanza kuwamulika hawa "wapishi" walioko nyuma ya pazia ambao "misosi" tunayolishwa wanahusika moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom