abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,154
Passport ninayo meneja tena hii ya sasa
Huko Uz kazi zipo za kumwaga chamsingi kwanza tafuta passport baada ya hapo anza kufukuzia michongo ipo ya kutosha. Kiufupi hapa bongo tunapoteza uwezo wetu, unadumaa tu. Kuendelea kubishana vitu vidogodogo