Tuwaige Uzberkistan Kama mafuta ni bei tunaweza kuibadili gesi yetu kuwa mafuta

Meneja hebu nitafutie kaz huko Uzbekistan
Nchi ya Uzberkistan inaanza kuibadili Gesi Asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na Gesi ya LPG ya kupikia.

Nchi ya Uzberkistan ina mpango wa kuanza uzalishaji katika kiwanda chake za kwanza cha kubadili Gesi asilia kuwa mafuta ya magari na ndege (GTL).

Kiwanda hicho chenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 3.6 ambacho kipo katika wilaya ya Guzar katika mkoa wa Kashkadarya kitasaidia nchi hiyo kupunguza utegemezi wa mafuta yanayoagizwa kutoka mataifa ya nje.

Kiwanda hicho kinamilikiwa na kampuni ya serikali ya mafuta na gesi Uzbekneftegaz kwa kushirikiana na Sasol ya Afrika Kusini.

Kiwanda hicho kitakua kina chakata gesi asilia ili kuzalisha mafuta safi ya magari na ndege. Kuanza kwa hicho kiwanda kutaipunguzia Uzberkistan kuagiza dizeli na mafuta ya ndege (Jet fuel) kutoka mataifa ya nje.

Kiwanda kinauwezo wa kuchakata kyubiki mita bilioni 3.6 za gesi asilia kila mwaka. Kitakua kinazalisha tani milioni 1.5 za mafuta ya magari na ndege yenye ubora.

Kitakuwa na uwezo wa kuzalisha tani laki tatu na elfu saba za mafuta ya taa (307,000t of kerosene), tani laki saba elfu ishirini na nne za dizeli (724,000t of diesel), tani laki nne elfu thelathini na saba za naphtha (437,000t of naphtha), na tani elfu hamsini na tatu za LPG (inayofanana na gesi za akina Oryx, Mihani na Lake). Naphtha itatumika kuzalisha mafuta ya petroli yenye ubora wa hali ya juu.

Bidhaa hizo za mafuta zitasambazwa nchini ili kufikia mahitaji ya ndani and pia zitasafirishwa kwenye mataifa ya nje.

Kiwanda hiki cha kubadili gesi asilia kuwa mafuta kina key production facilities nne ambazo ni:
1.Utilities supply plant,
2.Synthesis gas production plant,
3.Synthesis liquid production plant, and
4.Product work-up plant.

View attachment 1850375

Process nzima inaitwa GAS TO LIQUIDS (GTL). Unaweza kuiangali kwenye hizi video hapa chini kisha ukatoa maoni yako.










 
Nchi ya Uzberkistan inaanza kuibadili Gesi Asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na Gesi ya LPG ya kupikia.

Nchi ya Uzberkistan ina mpango wa kuanza uzalishaji katika kiwanda chake za kwanza cha kubadili Gesi asilia kuwa mafuta ya magari na ndege (GTL).

Kiwanda hicho chenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 3.6 ambacho kipo katika wilaya ya Guzar katika mkoa wa Kashkadarya kitasaidia nchi hiyo kupunguza utegemezi wa mafuta yanayoagizwa kutoka mataifa ya nje.

Kiwanda hicho kinamilikiwa na kampuni ya serikali ya mafuta na gesi Uzbekneftegaz kwa kushirikiana na Sasol ya Afrika Kusini.

Kiwanda hicho kitakua kina chakata gesi asilia ili kuzalisha mafuta safi ya magari na ndege. Kuanza kwa hicho kiwanda kutaipunguzia Uzberkistan kuagiza dizeli na mafuta ya ndege (Jet fuel) kutoka mataifa ya nje.

Kiwanda kinauwezo wa kuchakata kyubiki mita bilioni 3.6 za gesi asilia kila mwaka. Kitakua kinazalisha tani milioni 1.5 za mafuta ya magari na ndege yenye ubora.

Kitakuwa na uwezo wa kuzalisha tani laki tatu na elfu saba za mafuta ya taa (307,000t of kerosene), tani laki saba elfu ishirini na nne za dizeli (724,000t of diesel), tani laki nne elfu thelathini na saba za naphtha (437,000t of naphtha), na tani elfu hamsini na tatu za LPG (inayofanana na gesi za akina Oryx, Mihani na Lake). Naphtha itatumika kuzalisha mafuta ya petroli yenye ubora wa hali ya juu.

Bidhaa hizo za mafuta zitasambazwa nchini ili kufikia mahitaji ya ndani and pia zitasafirishwa kwenye mataifa ya nje.

Kiwanda hiki cha kubadili gesi asilia kuwa mafuta kina key production facilities nne ambazo ni:
1.Utilities supply plant,
2.Synthesis gas production plant,
3.Synthesis liquid production plant, and
4.Product work-up plant.

View attachment 1850375

Process nzima inaitwa GAS TO LIQUIDS (GTL). Unaweza kuiangali kwenye hizi video hapa chini kisha ukatoa maoni yako.











Sasol hawa Waafrica kusini ni habari nyingine. Huwa wanatoa diesel kwenye makaa ya mawe. Wana uwekezani mkubwa sana USA pia
 
Ni kweli mkuu, ila elezea kwa kirefu kidogo
Asante.

Watu wanaohusika na miradi wanayajua sana haya mambo ya kufanyatathmini ya mradi kabla ya kuanzishwa. Tathmini hiyo inahusisha upembuzi yakinifu wa technolojia itayotumika na utafutaji wa mizania ya kiuchumi kujua kama mradi utaleta faida inayotakiwa na kunufaisha watanzania. Kulingana na teknolojia itayotumika lazima suala la mazingira lipewe kipaumbele isije kuwa ndio tunachafua zaidi mazingira.

Kwenye clip inasemekena hiyo petroli inapatikana kwa njia ya cracking process. Njia hii imelalamikiwa sana kiuchumi na kimazingira. Hata hivyo tukifanya upembuzi yakinifu wa mradi huu tutapata majibu sahihi ya mradi huu.

Hiki ndicho nilimaanisha.
 
Tukifanya hivyo gharama za mafuta zitashuka kutoka kiasi gani mpaka kiasi gani ? Na hio gesi ya Mtwara ni ya kwetu kwa percent ngapi ? na huoni kwamba njia rahisi zaidi ni kufanya magari yatu yaweze kutumia hio natural gas direct ?
 
Tukifanya hivyo gharama za mafuta zitashuka kutoka kiasi gani mpaka kiasi gani ? Na hio gesi ya Mtwara ni ya kwetu kwa percent ngapi ? na huoni kwamba njia rahisi zaidi ni kufanya magari yatu yaweze kutumia hio natural gas direct ?
Unadhani ni rahisi kufanya hivyo???
 
Tukifanya hivyo gharama za mafuta zitashuka kutoka kiasi gani mpaka kiasi gani ? Na hio gesi ya Mtwara ni ya kwetu kwa percent ngapi ? na huoni kwamba njia rahisi zaidi ni kufanya magari yatu yaweze kutumia hio natural gas direct ?
Kwa bei ya mafuta inakoenda kufika saivi hii ndio option yenye unafuu na uzuri ni kwamba inakupa security ya kutotegemea mafuta ya watu.
 
Asante.

Watu wanaohusika na miradi wanayajua sana haya mambo ya kufanyatathmini ya mradi kabla ya kuanzishwa. Tathmini hiyo inahusisha upembuzi yakinifu wa technolojia itayotumika na utafutaji wa mizania ya kiuchumi kujua kama mradi utaleta faida inayotakiwa na kunufaisha watanzania. Kulingana na teknolojia itayotumika lazima suala la mazingira lipewe kipaumbele isije kuwa ndio tunachafua zaidi mazingira.

Kwenye clip inasemekena hiyo petroli inapatikana kwa njia ya cracking process. Njia hii imelalamikiwa sana kiuchumi na kimazingira. Hata hivyo tukifanya upembuzi yakinifu wa mradi huu tutapata majibu sahihi ya mradi huu.

Hiki ndicho nilimaanisha.
Wewe Tanzania mazingira gani unaharibu zaidi ni kukata miti, tuviwanda tulioko Tz ni nukta tu katika uchafuzi wa mazingira
 
Sijasoma uziwako wote ila nimechefukwa nahiyo heading yako hapo juu ulivyosema tutumie gesi yetu.
Iviwewe ni mtanzania?

Sisi tuna gas wapi?????
 
Back
Top Bottom