Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

balaa la fally ipupa
 

Attachments

  • 6a3058b1a3fd2b97d84656b6aa3ce36c.mp4
    13.8 MB
Adolp Muteba Chilamwina,
Yusuf Kitumbo -Mumiliki wa Mbasi ya Kitumbo Express, Diwani wa kata ya Cheyo na mimiliki wa Kitayosce / Tabora FC
 
Kidogo chetu kikubwa cha med balabuu .....kassim mganga

Nadhan tajir wa mafuta kutoka mji kasoro bahari
Siasa ilimfanya akimbie biashara. Yard yake ya Magari (T.O.T) akamuachia shemeji yake Bakhresa saizi ndio Azam TV. Petrol station ilibaki moja pale moro town
 
Wakongo ili kukurusha jina lako tu inabd umpe si chini ya $2000 😄
Kuna mambo ikiyafikiria yanachekesha kwl

Ova
Dollar 2000??? wapiii?? bia kadhaa tu wanakurusha hao. Niliwahi kuja bongo kitambo enzi ya Ngwasuma pale Makumbusho, niliwanywesha bia kadhaa walinirusha sana kwa wiki zangu 2 nilizokua hapo Daslama. Dollar 2000 nyingi sana labda wanawapata waturutumbi wa mikoani sio born city.
 
Dollar 2000??? wapiii?? bia kadhaa tu wanakurusha hao. Niliwahi kuja bongo kitambo enzi ya Ngwasuma pale Makumbusho, niliwanywesha bia kadhaa walinirusha sana kwa wiki zangu 2 nilizokua hapo Daslama. Dollar 2000 nyingi sana labda wanawapata waturutumbi wa mikoani sio born city.
Nawazungumziwa wakina fally pupa na koffie olomide
Achana na hawa wakina nyoshi &Co Ltd

Ova
 
Back
Top Bottom