Mkuu umepiga ikulu, hakuna kitu zaidi ya uchwawi........hapo wanajizatiti kuendelea kukalia nchi kishirikina, bila Mungu Mwenyezi kuingilia kati bongolala haitakuja kuendelea kamwe.Kwanza uelewe kwamba CHEIF ni neno la kizungu.
Pili MACHIFU ni viongozi wa kiafrika waliowekwa na wazungu kwa ajili ya kazi za kikoloni.
Afrika haijawahi kuwa na CHEIF. Hii CHIEF ni invention ya mkoloni.
Hawa wa sasa hivi wanaoitwa MACHIFU ni wachawi wa samia.
Hakuna kitu kama CHEIF. Haya ni machawi tu yaliyotafuta chaka zuri la kujifichia.