"TUVUMILIE, tuna marekebisho muhimu tunafanya kwa maboresho. Give us approximately 90 minutes. Tuandikie: support@jamiiforums.com ... - Uongozi JF." hivi ndivyo JF web ilikuwa ikiniambia mda mfupi uliopita
Malaria Sugu alikuwa anatafuta ofisi za JF, leo amezipata nini maana hii message imenipa kiwewe mara nikafikiri labda JF imepigwa burn by Gov.
Nina Kampuni ya ulinzi JF tuwasiliane ili tusaidiane kuzuia hujuma, ila hatutumii silaha, maana kwenye mafanikia na hujuma pia zinaweza fanikiwa.
Malaria Sugu alikuwa anatafuta ofisi za JF, leo amezipata nini maana hii message imenipa kiwewe mara nikafikiri labda JF imepigwa burn by Gov.
Nina Kampuni ya ulinzi JF tuwasiliane ili tusaidiane kuzuia hujuma, ila hatutumii silaha, maana kwenye mafanikia na hujuma pia zinaweza fanikiwa.