Tuunganishe dots Mwanakijiji et al - kwanini Upinzani umeshinda Zambia, Tanzania je..

Jun 9, 2011
92
53
Kwako comrade Mwanakijiji, Najua wewe ni mkereketwa wa mageuzi huko nyumbani Tanzania, sasa tupa jicho lake huko Zambia tayari wakiritimba wamesombwa na mawimbi, geukia Egypty , Libya na Tunisia tayari madikteta wamefyekwa, just unganisha doti utafahamu ukweli kuhusu anguko kuu la CCM , nasema unganisha doti anguko laja kama si leo ni lini basi?
 
Kwako comrade Mwanakijiji, Najua wewe ni mkereketwa wa mageuzi huko nyumbani Tanzania, sasa tupa jicho lake huko Zambia tayari wakiritimba wamesombwa na mawimbi, geukia Egypty , Libya na Tunisia tayari madikteta wamefyekwa, just unganisha doti utafahamu ukweli kuhusu anguko kuu la CCM , nasema unganisha doti anguko laja kama si leo ni lini basi?

Najua hoja hii imeelekezwa kwa Mwanakijiji - Sipendi kumjibia.

Ila kwa kuwa imewekwa kwenye jukwaa naomba niseme kuwa ... You cannot join dots where there are no dots. The Zambia dots are different from the Egypt, Tunisia and Libya - Zambia is through votes while the rest is peoples POWER!

Politics za Zambia ni za kipekee sana. Kaunda aliondoka, Chiluba na sasa Banda. Mara mbili wameonyesha kuwa chama tawala kinaweza kutolewa madarakani kwa sanduku la kura. Hotuba ya juzi juzi ya Banda ilinifanya niamini kuwa bado kuna wanasiasa wanaosimamia dhamira safi na wasiotaka dhamira zao ziwashtaki. Serikali yetu na viongozi wake dhamira zao zimekufa. Wako tayari kuutetea uongo hata kama wanajua hata mtoto mdogo anajua kuwa huo ni uongo.
Kinachoweza kufanyika ni nguvu ya watu ... Sioni namna CCM itakavyokubali kutolewa kwa sanduku la kura. Hapa naomba niwe Tomaso. Let Igunga prove me wrong!

I am still a gud student of Nyerere philosophy that ili tuendelee tunahitaji vitu vinne: watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. I call them the four pearls of development. During Nyerere's time we had all four (not 100% of each but we had them). In Ruksa's time we lost uongozi bora, in Ukapa's time, we lost ardhi through uwekezaji holela and in now in JKs (or as someone nicknamed Kigeugeu), we have lost siasa safi.

I urge my fellow citizens: Chonde chonde jamani tumebaki sisi (watu) tu. Lets stand on our feet and regain the three lost pearls before it is our turn (if not us our children) to be lost.
 
Najua hoja hii imeelekezwa kwa Mwanakijiji - Sipendi kumjibia.

Ila kwa kuwa imewekwa kwenye jukwaa naomba niseme kuwa ... You cannot join dots where there are no dots. The Zambia dots are different from the Egypt, Tunisia and Libya - Zambia is through votes while the rest is peoples POWER!

Politics za Zambia ni za kipekee sana. Kaunda aliondoka, Chiluba na sasa Banda. Mara mbili wameonyesha kuwa chama tawala kinaweza kutolewa madarakani kwa sanduku la kura. Hotuba ya juzi juzi ya Banda ilinifanya niamini kuwa bado kuna wanasiasa wanaosimamia dhamira safi na wasiotaka dhamira zao ziwashtaki. Serikali yetu na viongozi wake dhamira zao zimekufa. Wako tayari kuutetea uongo hata kama wanajua hata mtoto mdogo anajua kuwa huo ni uongo.
Kinachoweza kufanyika ni nguvu ya watu ... Sioni namna CCM itakavyokubali kutolewa kwa sanduku la kura. Hapa naomba niwe Tomaso. Let Igunga prove me wrong!

I am still a gud student of Nyerere philosophy that ili tuendelee tunahitaji vitu vinne: watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. I call them the four pearls of development. During Nyerere’s time we had all four (not 100% of each but we had them). In Ruksa’s time we lost uongozi bora, in Ukapa’s time, we lost ardhi through uwekezaji holela and in now in JKs (or as someone nicknamed Kigeugeu), we have lost siasa safi.

I urge my fellow citizens: Chonde chonde jamani tumebaki sisi (watu) tu. Lets stand on our feet and regain the three lost pearls before it is our turn (if not us our children) to be lost.

Well said mkuu !
 
Najua hoja hii imeelekezwa kwa Mwanakijiji - Sipendi kumjibia.

Ila kwa kuwa imewekwa kwenye jukwaa naomba niseme kuwa ... You cannot join dots where there are no dots. The Zambia dots are different from the Egypt, Tunisia and Libya - Zambia is through votes while the rest is peoples POWER!

Politics za Zambia ni za kipekee sana. Kaunda aliondoka, Chiluba na sasa Banda. Mara mbili wameonyesha kuwa chama tawala kinaweza kutolewa madarakani kwa sanduku la kura. Hotuba ya juzi juzi ya Banda ilinifanya niamini kuwa bado kuna wanasiasa wanaosimamia dhamira safi na wasiotaka dhamira zao ziwashtaki. Serikali yetu na viongozi wake dhamira zao zimekufa. Wako tayari kuutetea uongo hata kama wanajua hata mtoto mdogo anajua kuwa huo ni uongo.
Kinachoweza kufanyika ni nguvu ya watu ... Sioni namna CCM itakavyokubali kutolewa kwa sanduku la kura. Hapa naomba niwe Tomaso. Let Igunga prove me wrong!

I am still a gud student of Nyerere philosophy that ili tuendelee tunahitaji vitu vinne: watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. I call them the four pearls of development. During Nyerere's time we had all four (not 100% of each but we had them). In Ruksa's time we lost uongozi bora, in Ukapa's time, we lost ardhi through uwekezaji holela
and in now in JKs (or as someone nicknamed Kigeugeu), we have lost siasa safi.

I urge my fellow citizens: Chonde chonde jamani tumebaki sisi (watu) tu. Lets stand on our feet and regain the three lost pearls before it is our turn (if not us our children) to be lost.
kaka nikusahihishe pale pekundu - "and now in JKs(or as someone nicknamed kigeugeu, we lost all four.
 
Najua hoja hii imeelekezwa kwa Mwanakijiji - Sipendi kumjibia.

Ila kwa kuwa imewekwa kwenye jukwaa naomba niseme kuwa ... You cannot join dots where there are no dots. The Zambia dots are different from the Egypt, Tunisia and Libya - Zambia is through votes while the rest is peoples POWER!

Politics za Zambia ni za kipekee sana. Kaunda aliondoka, Chiluba na sasa Banda. Mara mbili wameonyesha kuwa chama tawala kinaweza kutolewa madarakani kwa sanduku la kura. Hotuba ya juzi juzi ya Banda ilinifanya niamini kuwa bado kuna wanasiasa wanaosimamia dhamira safi na wasiotaka dhamira zao ziwashtaki. Serikali yetu na viongozi wake dhamira zao zimekufa. Wako tayari kuutetea uongo hata kama wanajua hata mtoto mdogo anajua kuwa huo ni uongo.
Kinachoweza kufanyika ni nguvu ya watu ... Sioni namna CCM itakavyokubali kutolewa kwa sanduku la kura. Hapa naomba niwe Tomaso. Let Igunga prove me wrong!

I am still a gud student of Nyerere philosophy that ili tuendelee tunahitaji vitu vinne: watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. I call them the four pearls of development. During Nyerere's time we had all four (not 100% of each but we had them). In Ruksa's time we lost uongozi bora, in Ukapa's time, we lost ardhi through uwekezaji holela and in now in JKs (or as someone nicknamed Kigeugeu), we have lost siasa safi.

I urge my fellow citizens: Chonde chonde jamani tumebaki sisi (watu) tu. Lets stand on our feet and regain the three lost pearls before it is our turn (if not us our children) to be lost.

ni ngumu kuelewa watz tuna nini vichwani mwetu hadi tuwe wazito wa mabadiliko namna hii, nw niko kijiji kimoja huku Iringa yani shida tupu,. watu ni kama wamelishwa limbwata na kijani,daaah,..ukimuuliza mtu unadhani ni nini kinapelekea watu kwenye kijiji hiki kuishi kwa tabu namna hii ilihali ni sehemu ambayo kuna uzalishaji mkubwa mno wa chakula, ardhi ni yenye rutuba pasipo mfano..jibu unalopata ni Baba we acha tu,. Ukiuliza sasa vipi kura yako uliitumia vyema??? Jibu unalopewa ni kuwa baba huoni nguo hizi (kanga na vilemba vya kijani na njano), ningekuwa nimevaa nini saa hizi na hili baridi!!! kwa kweli haya ndiyo mavazi yaliyotawala huku,utadhani ni sare za shule kwa kila mwanakijiji,...

Piteni na huku kina Zitto,Mnyika Lipumba na wengine wenye kuweza kusema mkasikilizwa...wanaangamia hawa pasipo hatia kwenye ardhi yao wenyewe,inatia sana huruma,.. Nashindwa kuamini kuwa hatia ni kura yao, bali hawa hawajapata nafasi ya kusikia altenatives ya maisha magumu wanayoishi.. Nawaomba mzingatie hili..VIJIJINI BADO.
 
Most Tanzanians lives in theories not practical!! that weakness is a huge advantage to ccm. CCM always asserts theories to his citizens guiding them to believe in illusions! illisions like udini, ukabila, vita, ubaguzi, e.t.c has crippled/obsessed Tanzanians. Tunatembea ndani na nje ya nchi tukijigamba Tanzania ni nchi ya amani yenye utajiri while naked, illeterates, and cannnot even buy a lunch!!! STUPID!!!!!!. ccm always brags that has brought good lives to Tanzanians while every Tanzanian Knows how miserable he/she is, but becaused of too much illusions, he believes on what this vampire tells him!!!!
We probably needs a massiah who will be walking street by street, house by house, person by person, neighborhood by neighborhood to awaken our dead brain!!
IF THERE IS GOD SOMEWHERE OUT THERE, PLEASE BRING THAT MASSIAH TO US!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Najua hoja hii imeelekezwa kwa Mwanakijiji - Sipendi kumjibia.

Ila kwa kuwa imewekwa kwenye jukwaa naomba niseme kuwa ... You cannot join dots where there are no dots. The Zambia dots are different from the Egypt, Tunisia and Libya - Zambia is through votes while the rest is peoples POWER!

Politics za Zambia ni za kipekee sana. Kaunda aliondoka, Chiluba na sasa Banda. Mara mbili wameonyesha kuwa chama tawala kinaweza kutolewa madarakani kwa sanduku la kura. Hotuba ya juzi juzi ya Banda ilinifanya niamini kuwa bado kuna wanasiasa wanaosimamia dhamira safi na wasiotaka dhamira zao ziwashtaki. Serikali yetu na viongozi wake dhamira zao zimekufa. Wako tayari kuutetea uongo hata kama wanajua hata mtoto mdogo anajua kuwa huo ni uongo.
Kinachoweza kufanyika ni nguvu ya watu ... Sioni namna CCM itakavyokubali kutolewa kwa sanduku la kura. Hapa naomba niwe Tomaso. Let Igunga prove me wrong!

I am still a gud student of Nyerere philosophy that ili tuendelee tunahitaji vitu vinne: watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. I call them the four pearls of development. During Nyerere’s time we had all four (not 100% of each but we had them). In Ruksa’s time we lost uongozi bora, in Ukapa’s time, we lost ardhi through uwekezaji holela and in now in JKs (or as someone nicknamed Kigeugeu), we have lost siasa safi.

I urge my fellow citizens: Chonde chonde jamani tumebaki sisi (watu) tu. Lets stand on our feet and regain the three lost pearls before it is our turn (if not us our children) to be lost.

I like this!
 
You said it all,i salute my brother!

Najua hoja hii imeelekezwa kwa Mwanakijiji - Sipendi kumjibia.

Ila kwa kuwa imewekwa kwenye jukwaa naomba niseme kuwa ... You cannot join dots where there are no dots. The Zambia dots are different from the Egypt, Tunisia and Libya - Zambia is through votes while the rest is peoples POWER!

Politics za Zambia ni za kipekee sana. Kaunda aliondoka, Chiluba na sasa Banda. Mara mbili wameonyesha kuwa chama tawala kinaweza kutolewa madarakani kwa sanduku la kura. Hotuba ya juzi juzi ya Banda ilinifanya niamini kuwa bado kuna wanasiasa wanaosimamia dhamira safi na wasiotaka dhamira zao ziwashtaki. Serikali yetu na viongozi wake dhamira zao zimekufa. Wako tayari kuutetea uongo hata kama wanajua hata mtoto mdogo anajua kuwa huo ni uongo.
Kinachoweza kufanyika ni nguvu ya watu ... Sioni namna CCM itakavyokubali kutolewa kwa sanduku la kura. Hapa naomba niwe Tomaso. Let Igunga prove me wrong!

I am still a gud student of Nyerere philosophy that ili tuendelee tunahitaji vitu vinne: watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. I call them the four pearls of development. During Nyerere's time we had all four (not 100% of each but we had them). In Ruksa's time we lost uongozi bora, in Ukapa's time, we lost ardhi through uwekezaji holela and in now in JKs (or as someone nicknamed Kigeugeu), we have lost siasa safi.

I urge my fellow citizens: Chonde chonde jamani tumebaki sisi (watu) tu. Lets stand on our feet and regain the three lost pearls before it is our turn (if not us our children) to be lost.
[/QUOTE]
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom