naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,275
Hakuna cha kumpenda wala nini, tambua kwamba huwezi kufa kama siku zako hazijafika,Mungu anampenda Lissu, ana sababu kwanini alimuokoa na mauti, taratibu tutaelewa makusudi ya Mungu yalikuwa ni yapi.