Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Napendekeza tuunde mahakama maalumu itakayoshugulikia mawaziri wote waliohusika na uhujumu uchumi.
Tofauti na hapo tutakuwa tunashuhudia kesi nyingi zinafunguliwa na fedha nyingi zinatolewa kushughulikia hizi kesi mwisho wa siku wanashinda kesi kwa kutoa rushwa.
Tofauti na hapo tutakuwa tunashuhudia kesi nyingi zinafunguliwa na fedha nyingi zinatolewa kushughulikia hizi kesi mwisho wa siku wanashinda kesi kwa kutoa rushwa.