Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
- Thread starter
- #41
Mpaka ameeleza lazima ameraise hii ishu. Ndio maaana amesema hakuna connection ya kisiasa japokuwa waliohukumiwa ni wafuasi wa chama cha siasa.Kwani mahakamani kulikuwa na hoja kuwa mauaji yale yalikuwa ya kisiasa au la, mpaka hakimu arise hiyo kwenye judgement?