Swali langu ambalo hutaki kulijibu ni hili:kwenye mashtaka kulikuwa na hoja kwamba mauai yale yalikuwa ya kisiasa?Kama mlalamikaji ni serikali kwa hiyo mahakama huwa haisikilizi upande wa utetezi? Ndio maana huwa inasikiliza ishu zote kisha inafanya analysis.