Tuumize ubongo wetu kutafakari kwa kina: Je, waliomuua Alphonce Mawazo hawakutumwa na mtu?

Kama mlalamikaji ni serikali kwa hiyo mahakama huwa haisikilizi upande wa utetezi? Ndio maana huwa inasikiliza ishu zote kisha inafanya analysis.
Swali langu ambalo hutaki kulijibu ni hili:kwenye mashtaka kulikuwa na hoja kwamba mauai yale yalikuwa ya kisiasa?
 
Swali langu ambalo hutaki kulijibu ni hili:kwenye mashtaka kulikuwa na hoja kwamba mauai yale yalikuwa ya kisiasa?
We jamaa unajua kitu kinaitwa PH? Mashitaka ni mauaji ila kuna hoja huwa zinakubaliwa zisikilizwe ndani ya shauri. Naishia hapo.
 
Leo asubuhi nimetoka home Bukoli na kwenda zangu Katoro ili kuwaona washikaji,kama ilivyoada ikanilazimu nizame vijiwe vya kahawa ili kupata story mbili tatu za wadau.

Story kubwa ni kijana ambae alikuwa mjasiri na mpambanaji. Ambae alipoteza uhai wake kwa sababu ya siasa za kinafiki za Afrika.

Tuachane na bahati mbaya ya marehemu kuingia kwenye siasa za kinafiki za kiafrika na kisha kupoteza uhai wake. Je, kamanda Mawazo aliuwawa bila kuwepo na nia ovu ya kisiasa?

Maana sheria ya makosa ya jinai ya Tanzania imeweka wazi kuwa nia ovu ya kufanya mauaji ndio itakuwa kiini kikubwa cha kumtia mtu kwa kosa la mauaji.

Hakimu aliyewatia hatiani wauaji wa kamanda mawazo anakiri kuwa wauaji wa kamanda mawazo walikuwa wafuasi wa chama flani cha siasa,lakini hii sio sababu ya kuhusisha mauaji yake na siasa. Je hili linaingia hakilini?
Akili zako zina IQ ndogo sana, badala ya kuwaza mambo ya msingi ya kubadirisha Mazingira yako unawaza mambo ya yasio na faida.
 
Leo asubuhi nimetoka home Bukoli na kwenda zangu Katoro ili kuwaona washikaji,kama ilivyoada ikanilazimu nizame vijiwe vya kahawa ili kupata story mbili tatu za wadau.

Story kubwa ni kijana ambae alikuwa mjasiri na mpambanaji. Ambae alipoteza uhai wake kwa sababu ya siasa za kinafiki za Afrika.

Tuachane na bahati mbaya ya marehemu kuingia kwenye siasa za kinafiki za kiafrika na kisha kupoteza uhai wake. Je, kamanda Mawazo aliuwawa bila kuwepo na nia ovu ya kisiasa?

Maana sheria ya makosa ya jinai ya Tanzania imeweka wazi kuwa nia ovu ya kufanya mauaji ndio itakuwa kiini kikubwa cha kumtia mtu kwa kosa la mauaji.

Hakimu aliyewatia hatiani wauaji wa kamanda mawazo anakiri kuwa wauaji wa kamanda mawazo walikuwa wafuasi wa chama flani cha siasa,lakini hii sio sababu ya kuhusisha mauaji yake na siasa. Je hili linaingia hakilini?
Baada ya miezi michache huwezi kuwaona hao waliohukumiwa kunyongwa kwenye gereza lolote la Tanzania , sitaki kusema watakapokuwa ila hawatanyongwa , sasa ni akili yako kutafakari kama wauaji walitumwa au la
 
Nasema hivi waliowatuma hao waliofungwa wako pembeni, na kuna uwezekano ni kesi kiini macho ambapo wahusika watatoka tu mbele ya safari. Vinginevyo tuone wakinyongwa.
Kwa siku za karibuni ulishawahi kuona hukumu hii ikitekelezwa nchini au unaandika hivyo kwa kuwa aliyeuawa ni mwanacdm?
 
Kwa hiyo kule MKIRU nako yale mauaji ya halaiki ya wanaCCM napo tuumize ubongo pia au kwa Mawazo tu?
Kuna mtu kakuzuia kuumiza ubongo kuhusu Mkiru? Halafu akili za kushikiwa muwe mnaziacha chooni, ishu ya Mkiru kuifananisha na mauaji ya Mawazo ni kuonesha umbumbumbu uliotukuka.
 
Umeshajijibu,usisumbue wanaume.
Basi kuna tatizo mahali fulani Wewe ndiye umeleta hii hoja hapa, sisi wengine tulitarajia wewe utuongoze tukidhani una details za kutosha kuhusu proceedings mpaka ruling ya kesi, sasa tunapokuuliza unajibu kisera! sijui kwanini tunakuwa na taifa lililojaa watu wasioweza mijadala hata kama wanaileta wenyewe!
 
Back
Top Bottom