kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,990
- 17,877
Wakuu,
Tuujadili ushindi wa Biden kuelekea makubaliano ya Nyuklia ya Iran.
Kama tunakumbuka Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya Nyuklia ya Iran na kurudisha vikwanzo vikali dhidi ya Tehran japo mpaka sasa iran inaonekana bado ipo ngangari.
Sasa Democratic tunavyojua ni waungaji wakubwa wa makubaliano ya nyuklia ya Iran tofauti na Republican.
Sasa mjadala jee Biden atarudi kwenye ule mkataba wa makubaliano ya Iran?
Na je, masuala ya Mashariki ya Kati?
Vipi kuhusu Korea ya Kaskazini?
Tuujadili ushindi wa Biden kuelekea makubaliano ya Nyuklia ya Iran.
Kama tunakumbuka Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya Nyuklia ya Iran na kurudisha vikwanzo vikali dhidi ya Tehran japo mpaka sasa iran inaonekana bado ipo ngangari.
Sasa Democratic tunavyojua ni waungaji wakubwa wa makubaliano ya nyuklia ya Iran tofauti na Republican.
Sasa mjadala jee Biden atarudi kwenye ule mkataba wa makubaliano ya Iran?
Na je, masuala ya Mashariki ya Kati?
Vipi kuhusu Korea ya Kaskazini?