Ndugu wa JF salamu
Hoja yangu kwa leo ni kuteta kuhusu mamlaka aliyopewa CAG.
Akihutubia kilele cha cha maadhimisho ya sikukuu ya Wafanyakazi duniani MEI MOSI, katika uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Raisi Kikwete alielezea kwa kirefu majukumu na mamlaka ya CAG currently Bw. Uttoh (a.k.a OTTU). kwa upande wa Mamlaka, Raisi alisema, ili CAG awe na uhuru kamili, ilitungwa sheria ya kutoingiliwa ktk utendaji wake, si Raisi ama chombo kingine chochote hakiwezi kuingilia mamlaka yake. Raisi akishamteua CAG hana mamlaka ya kumwondoa na km kuna dosari yoyote katika ripoti zake, halimashauri/idara husika wanatakiwa wapeleke malalamiko yao katika mahakama ya Rufaa na si vinginevyo.
Hoja yangu hapa ndugu wanaJF ni:
1. kama huyu mteule wa Raisi hawezi kuhojiwa na mamlaka yoyote, sasa anawajibika kwa nani? na ni nani wa kumwajibisha? nauliza hivyo maana isije ikatokea mkubwa huyu akawa na bifu na ofisi fulani akaamua kutoa ripoti mbaya ili amkomoe mbaya wake.
2. Je ripoti za huyu bw mkubwa zinakaguliwa na nani?
Ndugu wanaJF naomba kutoa hoja
Hoja yangu kwa leo ni kuteta kuhusu mamlaka aliyopewa CAG.
Akihutubia kilele cha cha maadhimisho ya sikukuu ya Wafanyakazi duniani MEI MOSI, katika uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Raisi Kikwete alielezea kwa kirefu majukumu na mamlaka ya CAG currently Bw. Uttoh (a.k.a OTTU). kwa upande wa Mamlaka, Raisi alisema, ili CAG awe na uhuru kamili, ilitungwa sheria ya kutoingiliwa ktk utendaji wake, si Raisi ama chombo kingine chochote hakiwezi kuingilia mamlaka yake. Raisi akishamteua CAG hana mamlaka ya kumwondoa na km kuna dosari yoyote katika ripoti zake, halimashauri/idara husika wanatakiwa wapeleke malalamiko yao katika mahakama ya Rufaa na si vinginevyo.
Hoja yangu hapa ndugu wanaJF ni:
1. kama huyu mteule wa Raisi hawezi kuhojiwa na mamlaka yoyote, sasa anawajibika kwa nani? na ni nani wa kumwajibisha? nauliza hivyo maana isije ikatokea mkubwa huyu akawa na bifu na ofisi fulani akaamua kutoa ripoti mbaya ili amkomoe mbaya wake.
2. Je ripoti za huyu bw mkubwa zinakaguliwa na nani?
Ndugu wanaJF naomba kutoa hoja