Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Tuache unafiki wa kuhukumu hawa watoto wadogo kwa kupata mimba wakiwa mashuleni ili hali sisi watu wazima tunashindwa kudhibiti hisia zetu na kuwa mfano kwa watoto wetu hawa.
Humu ndani baadhi ya watu/member wenzetu wanatetea wanafunzi wanaopata mimba eti wafukuzwe shule lakini wanasahau hata watu wazima wanazaa nje ya ndoa tena pengine nao wao wakiwa ni miongoni mwao.
Mimi naona kama tunaona ni sahihi kuhukumu mtoto mdogo ambae wakati mwingine anaweza kurubuniwa kutokana na umasikini wa wazazi wake,tuanze kwa kwa kujihukumu sisi watu wazima kwanza kwa kupitisha sheria itakayotamka wazi kuwa yoyote atakaebainika kuzaa au kutembea nje ya ndoa afukuzwe kazi serikalini iwapo mhusika ni mtumishi wa umma.
Utu uzima hauhalalisha ngono na hata vitabu vitakatifu vinakataza labda kwa wapagani.
Charity begins at home.
Humu ndani baadhi ya watu/member wenzetu wanatetea wanafunzi wanaopata mimba eti wafukuzwe shule lakini wanasahau hata watu wazima wanazaa nje ya ndoa tena pengine nao wao wakiwa ni miongoni mwao.
Mimi naona kama tunaona ni sahihi kuhukumu mtoto mdogo ambae wakati mwingine anaweza kurubuniwa kutokana na umasikini wa wazazi wake,tuanze kwa kwa kujihukumu sisi watu wazima kwanza kwa kupitisha sheria itakayotamka wazi kuwa yoyote atakaebainika kuzaa au kutembea nje ya ndoa afukuzwe kazi serikalini iwapo mhusika ni mtumishi wa umma.
Utu uzima hauhalalisha ngono na hata vitabu vitakatifu vinakataza labda kwa wapagani.
Charity begins at home.