super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 532
Mwenye nyumba naye ni majanga.
Tena kazalisha kuku na mayai yake.
Very vi-wonder
Huyo kaguswa na inawezekana kazaa nje ya ndoa.Discuss hoja mkuu,usilete matusi.Mwanaume atapataje mimba.Jibu hoja kwa hoja.
Kwa hoja hizi hapana aisee bado hujawaza sawasawa katika hiliTuache unafiki wa kuhukumu hawa watoto wadogo kwa kupata mimba wakiwa mashuleni ili hali sisi watu wazima tunashindwa kudhibiti hisia zetu na kuwa mfano kwa watoto wetu hawa.
Humu ndani baadhi ya watu/member wenzetu wanatetea wanafunzi wanaopata mimba eti wafukuzwe shule lakini wanasahau hata watu wazima wanazaa nje ya ndoa tena pengine nao wao wakiwa ni miongoni mwao.
Mimi naona kama tunaona ni sahihi kuhukumu mtoto mdogo ambae wakati mwingine anaweza kurubuniwa kutokana na umasikini wa wazazi wake,tuanze kwa kwa kujihukumu sisi watu wazima kwanza kwa kupitisha sheria itakayotamka wazi kuwa yoyote atakaebainika kuzaa au kutembea nje ya ndoa afukuzwe kazi serikalini iwapo mhusika ni mtumishi wa umma.
Utu uzima hauhalalisha ngono na hata vitabu vitakatifu vinakataza labda kwa wapagani.
Charity begins at home.
Hatazami kundi lakeKhee kheeeeee kheeeeeeeeeeeee! Nyani siku zote......
Umekosa hoja.Naomba kuuliza tu, Mbowe ni mtumishi,wa Umma?
Swali lake halina sifaUmekosa hoja.
Viongozi na wasio viongozi maana wote tabia zetu ni zile zile.hapo unamlenga kiongozi gani ndugu?
Inaonekana umezaa nje ya ndoa.Mtoa Mada kuna mtu anampangia mwingine namna ya kula mshahara wake? Wacha ujinga