Tutegemee Reshuffle ya Cabinet?

Ph.D za wanasiasa ni kwa ajili ya kutishia. Akiona hawatishiki anaitaja kwenye TV ili nchi ijue ana Ph.D.
PhD. ina thamani inapokuwezesha kuwasiliana na dunia. Angalia sasa! Mwigulu hajawahi kuandika chapisho lolote toka ktk hiyo Ph.D. Maana yake haina lolote la kuwasilisha duniani!
Aiseee !
 
Back
Top Bottom