Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kwelimaisha bora kwa kila mtanzania na ajira kuongezaka aka wafungua vizibo vya bia na soda
.Tutegemee Cabinet yake watakuwemo Wakuu wa Mikoa na wilaya kujazwa Wanajeshi wastaafu toka JWTZ .... ili wananchi wakileta maandamano na manung'uniko ni kupelekwa jeshini kupata adhabu za kijeshi toka kwa MP (Military Police)....
Vile vile bila kusahau kurudishwa kwenye uongozi mafisadi waliokubuhu kama Lowassa, Chenge, Mramba na wengineo..... Kodi nazo kuongezeka na mfumo wa bei kuwa juuu zaidi...