Tutegemee Mabadiliko Makubwa Baraza la Mawaziri

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Kwa kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli baada ya sakata la machinga wa Mwanza na wachimbaji wadogo wadogo kuna dalili la Mheshimiwa Rais kufanya mabadiliko makubwa katika serikali yake.

Watendaji wake wameleta uadui mkubwa Kati ya serikali ya awamu ya tano na wananchi kiasi ambacho Rais Magufuli alionekana anaenda kinyume na ahadi alizozitoa wakati wa kampeni zake za uchaguzi mwaka jana. Hii kauli Mbiu ya hapa kazi tu inatumika vibaya hata wafanyabiashara biashara kwasasa wanawekewa kodi zisizoeleweka.

Mheshimiwa Rais Magufuli naomba upange kwa mwezi upange siku maalum ya kusikiliza kero za wananchi kwani utapata malalamiko ya watanzania wengi.

Nakumbuka Rais wa awamu ya pili alifanya hivyo, wewe binafsi una nia nzuri na Tanzania mpya lakini hawa watendaji wako wanakuangusha.
 
Prof. Wa mawe apumzishwe tu hana tija. Na yule jamaa anaesema dangote anataka gesi ya bure.... akiambiwa alete ushahidi sijui itakuwaje
 
Hakuna mabadiliko yoyote yatakayofanyika na rais hawezi kusikiliza kero za wananchi wakati anao watendaji wake aliowateua kwa kuwaamini na kuwaagiza cha kufanya na wanafanya kama alivyowaagiza.
 
Kwa kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli baada ya sakata la machinga wa Mwanza na wachimbaji wadogo wadogo kuna dalili la Mheshimiwa Rais kufanya mabadiliko makubwa katika serikali yake.

Watendaji wake wameleta uadui mkubwa Kati ya serikali ya awamu ya tano na wananchi kiasi ambacho Rais Magufuli alionekana anaenda kinyume na ahadi alizozitoa wakati wa kampeni zake za uchaguzi mwaka jana. Hii kauli Mbiu ya hapa kazi tu inatumika vibaya hata wafanyabiashara biashara kwasasa wanawekewa kodi zisizoeleweka.

Mheshimiwa Rais Magufuli naomba upange kwa mwezi upange siku maalum ya kusikiliza kero za wananchi kwani utapata malalamiko ya watanzania wengi.

Nakumbuka Rais wa awamu ya pili alifanya hivyo, wewe binafsi una nia nzuri na Tanzania mpya lakini hawa watendaji wako wanakuangusha.
hamna mkuu, ni movie tu. wamesikia "kata funua" ndo maana!
 
Mabadiliko makubwa yafanyike kwa sababu ya wamachinga wa Mwanza?.
Sio Mwanza bro hali ni mbaya hawa watendaji wanamuuangusha mkuu wa kaya ukianzia wafanyabiashara, wavuvi wafanyakazi, wafanyabiashara wadogo ni kilio you.
Mpaka sasa TRA haijatoa makusanyo ya Nov. Je Rais Magufuli akae kimya wakati jahazi lina zaama.
 
kwanini unafikiria kuwa atafanya mabadiliko
kwani yeye alishasema kuwa alowateua wanamuangusha au ni hisia zako tyu
 
CCM ni makomandoo. Alijua kuwa Mbowe keshaandaa OKF(Operation Kata Funua) akajua kuwa ameshaipoteza dasilama kabisa, akapoteza Mbeya kabisa, sasa mji wa kituo cha kwendea nyumbani Mwanza nao ndo ameupoteza mazima, Hata wangeiba kura zoote bado watu wangempinga. Akaamua, usafi tupotee machoni pa watu au niwarudishe hao wachafu kabla sijapotezwa?
Tatizo ni kuwa, sasa kawachongea hao wapambe walio vunja vibanda. Watathubutu kwenda dai tena kodi???
 
Mwenye taarifa za makusanyo ya Mwezi November naomba ani PM maana naona hayawekwi hadharani na ile Sheria ya Makamba inatisha Sana bora nipokelee PM. Nisije kuambiwa nahatarisha usalama wataifa bure
 
Mbona baada ya tetemeko Kagera hatukutegemea mabadiliko kwenye wizara ya Mazingira na hadi sasa waziri wake anapeta ?
 
Hata akifanya mabadiliko atateua kutoka kwenye chama kile kile. Kwani kutakuwa na tofauti gani???
 
Watendaji wake wameleta uadui mkubwa Kati ya serikali ya awamu ya tano na wananchi kiasi ambacho Rais Magufuli alionekana anaenda kinyume
Watasema wametumwa na UKAWA
 
Kwa kauli ya Mheshimiwa Rais Magufuli baada ya sakata la machinga wa Mwanza na wachimbaji wadogo wadogo kuna dalili la Mheshimiwa Rais kufanya mabadiliko makubwa katika serikali yake.

Watendaji wake wameleta uadui mkubwa Kati ya serikali ya awamu ya tano na wananchi kiasi ambacho Rais Magufuli alionekana anaenda kinyume na ahadi alizozitoa wakati wa kampeni zake za uchaguzi mwaka jana. Hii kauli Mbiu ya hapa kazi tu inatumika vibaya hata wafanyabiashara biashara kwasasa wanawekewa kodi zisizoeleweka.

Mheshimiwa Rais Magufuli naomba upange kwa mwezi upange siku maalum ya kusikiliza kero za wananchi kwani utapata malalamiko ya watanzania wengi.

Nakumbuka Rais wa awamu ya pili alifanya hivyo, wewe binafsi una nia nzuri na Tanzania mpya lakini hawa watendaji wako wanakuangusha.
He can not dare doing that! Wamebaki kukimbizana na wapinzanni
 
Sijui nani anamwangusha nani kwenye utawala huu, sijui. Ila najuwa wapinzani ndio wanatuangusha zaidi.
 
Hakuna mabadiliko yoyote ya baraza la mawaziri, safu imekamilika vizuri, wanachapa kazi kama wanavyoelekezwa na wametoka upande ambao hautiliwi shaka?
 
Back
Top Bottom